Nadhani imeisha Mkuu mana toka adhabu yake itolewe tumeshacheza game tatu.Wakuu hii game ya kesho The Tank atacheza? Au bado adhabu ya mechi 3 inaendelea?
New member. Karibu sana JF.Wananchi wamekata moto
Nakusalimia Shemela. Adimu sana weye.New member. Karibu sana JF.
Hizi salamu za belouizdad tutawapiga kama ngoma waarabu kwa mkapa hawatoki wale
Kabisa. Mwanzoni kama kikosi chetu kilitaka kutupa wasiwasi kwa wachezaji kusua sua ila sasa tumeshakaa vizuri.Hizi salamu za belouizdad tutawapiga kama ngoma waarabu kwa mkapa hawatoki wale
Naunga mkono hoja mremboKabisa. Mwanzoni kama kikosi chetu kilitaka kutupa wasiwasi kwa wachezaji kusua sua ila sasa tumeshakaa vizuri.
Kwa sasa waje tu hao belouizdad.
Hahahaaa. Lol.Naunga mkono hoja mrembo
Ila hawa Waarabu ilitakiwa tuwaweke pale kwa Mkapa saa 8 mchana ili ndimi ziwachomoke!Kabisa. Mwanzoni kama kikosi chetu kilitaka kutupa wasiwasi kwa wachezaji kusua sua ila sasa tumeshakaa vizuri.
Kwa sasa waje tu hao belouizdad.