[emoji23][emoji23][emoji23]Namna ya Yanga kuwafunga Gormahia....
"Ingekuwa Gormahia hawaijui bongo wakija tungewashushia kigoma airport. Tia kwenye basi hadi kahama, Nzega, igunga, singida kula kushoto babati tokea Arusha moshi. Ingia mombo korogwe hadi msata .zama bagamoyo tegeta mpaka mwenge.Makumbusho mpaka posta.vusha kigamboni kongowe majimatitu hadi mbande kule.tukifika Buza kula kushoto hadi jeti. Tunazama mpaka kinyerezi.tunaenda kuwalaza mbezi malamba mawili. Kisha tunawaambia mechi IPO Sokoine Mbeya"
Kweli watatoka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]