huyo wa kwanza ana balance ni rahisi kwake kupiga ticktaka lakini huyo wapili lazima uwe frexsible ndio uweze kugeuka.Hebu linganisha hapo uone. Magoli kama hayo yamefungwa sana kwenye compilation kali si kama Ajibu alivyofanya bila bughudha anaseti miguu awezavyo. View attachment 928256
Lege legeJamani huyu Ajib ni noma sana. Yangaaaaa.....
Yeye ndo anatamani kurudi.Anaona washikaji zake akina Ndemla,Tshabalala na Mkude wanavyo shine.Huyu ajibu hatari sana, ile timu iliyomuacha itakuwa inajuta sana, nimeanza kusikia tetesi kuwa wamnamuhitaji tena.
Uko vizuri kwenye maeneo mengi best...ulipoteleza ni hapa kwa Ndala mbovu tu.Kila la kheri chama langu kwenye mechi ya leo Mdogo mdogo tutafika tu. Mpira matokeo hizo nyingine Mbwembwe tu.
"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Ha ha ha ha...nimechekaje...!Haisaidiii Mkuu watuache na Mabakuli yetu mwisho wa siku Msimamo ndio unaongea. Hahaaaaa.
Mnamaliza gemu za mjini karibuni tu.Zamu ya Lipuli leo Mkuu. [emoji3][emoji3] Hatari sana.
Hizi hizi tunazopitishia bakubari kaka, wewe usione vyaelea ndugu yangu, yanga mbele nyuma mwiko.Kwa pesa zipi!!!
sana tu.............Hizi hizi tunazopitishia bakubari kaka, wewe usione vyaelea ndugu yangu, yanga mbele nyuma mwiko.
OyeeeeeeeeeeeeeeeYanga oyeeeeeeeee, hata kama wa mtaa wa pili wamenuna, yanga mbele nyuma mwiko.
kindoki aachwe atatuua kwa pressureusajili jaman nani aongezwe na nani aachwe?
Zamu ya huyuZamu ya nani leo?
Msimamamo wa ligi huu hapaZamu ya huyuView attachment 950739
Hahahaha kama mbeleKuna watu roho itawauma hapaView attachment 951134