Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

yanga.jpg
yanga.jpg




PIGA KELELEEEEE WATU HAO NUSU FAINALI
 
Shadeeya nimeipenda hii
🙂🙂🙂
ujumbe maridhawa kabisa toka kwa mwanayanga mwenzetu
hii sio katika michezo tu ila yatakiwa tuzingatie hili katika maisha yetu kiujumla
Hakika Mkuu. Hatupaswi kukata tamaa hata katika maisha ya kawaida. Kukata tamaa ndio mwanzo wa kufeli kabisa.
 
Nilikuwa nimeshakata tamaa, nikawa naangalia mambo mengine mara nikaanza kuona messages WhatsApp zimezidi nikajua natumiwa madongo.
Nikasema ngoja nizicheki, nikaona ni za washikaji wangu wa Yanga, kufungua naona videos za kindoki akibebwa.
Asanteni vijana wetu wa Jangwani ingawa mnatupa pressure ila tunaburudika.
Kamwene! You are next!!
 
Nilikuwa nimeshakata tamaa, nikawa naangalia mambo mengine mara nikaanza kuona messages WhatsApp zimezidi nikajua natumiwa madongo.
Nikasema ngoja nizicheki, nikaona ni za washikaji wangu wa Yanga, kufungua naona videos za kindoki akibebwa.
Asanteni vijana wetu wa Jangwani ingawa mnatupa pressure ila tunaburudika.
Kamwene! You are next!!

Na game ijayo hao Kamwene wasubirie maumivu tu.
 
Mie mwenyewe sikumdhania ujue. Karibia penalties zote kazifuata aiseee.

Yabidi azidi kujiimarisha zaidi na kujiamini kwani sio mbaya.
anatupa matumaini kocha azidi kumuamini na kumpanga zaidi atatufikisha mbali
 
Back
Top Bottom