Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Anajua sana yule jamaa. Halafu umegundua Kindoki mzuri kwenye Penalti tofauti na Kabwili.kamusoko kwenye penat fund sana hanaga papara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajua sana yule jamaa. Halafu umegundua Kindoki mzuri kwenye Penalti tofauti na Kabwili.kamusoko kwenye penat fund sana hanaga papara
Hahaaaa. Yabidi nikupe miwani mtani. Inamaana hunioni toka mwanzo humu. lol
ni kweliAnajua sana yule jamaa. Halafu umegundua Kindoki mzuri kwenye Penalti tofauti na Kabwili.
Hakika Mkuu. Hatupaswi kukata tamaa hata katika maisha ya kawaida. Kukata tamaa ndio mwanzo wa kufeli kabisa.Shadeeya nimeipenda hii
🙂🙂🙂
ujumbe maridhawa kabisa toka kwa mwanayanga mwenzetu
hii sio katika michezo tu ila yatakiwa tuzingatie hili katika maisha yetu kiujumla
sasa hivi tukifika kwenye matuta huwa sina wasiwasi na huyu dogo
Mie mwenyewe sikumdhania ujue. Karibia penalties zote kazifuata aiseee.sasa hivi tukifika kwenye matuta huwa sina wasiwasi na huyu dogo
ndo hivyo tena beno hana chake aende tu na huyo ajibu
Nilikuwa nimeshakata tamaa, nikawa naangalia mambo mengine mara nikaanza kuona messages WhatsApp zimezidi nikajua natumiwa madongo.
Nikasema ngoja nizicheki, nikaona ni za washikaji wangu wa Yanga, kufungua naona videos za kindoki akibebwa.
Asanteni vijana wetu wa Jangwani ingawa mnatupa pressure ila tunaburudika.
Kamwene! You are next!!
anatupa matumaini kocha azidi kumuamini na kumpanga zaidi atatufikisha mbaliMie mwenyewe sikumdhania ujue. Karibia penalties zote kazifuata aiseee.
Yabidi azidi kujiimarisha zaidi na kujiamini kwani sio mbaya.
na tena tuna hasira nao sana wale wala mbwaNa game ijayo hayo Kamwene waandike maumivu tu.
Sidhani kama tutawaacha salama maana niwaonavyo masikio yameshapita kichwa na kujiona kwamba mechi ijayo watatukalisha tena.na tena tuna hasira nao sana wale wala mbwa
swadakta mie mzee wangu aliwah kunambia kukata tamaa ni dhambiHakika Mkuu. Hatupaswi kukata tamaa hata katika maisha ya kawaida. Kukata tamaa ndio mwanzo wa kufeli kabisa.