Njoo tumalizie kucheka basi Mkuu π π π ππ π π π π
Duuh....hii komoa.KITUO KINACHOFUATA NI MTWARA KUWAFUATA NDANDA FC TPL.
TAREHE 03.04.2019
Yaani. Halafu Zahera akilalamika wanamuona namna gani vipi. Komoa hasa hii shemela.Duuh....hii komoa.
nimefika mkuu japo nimechelewa timu ya wananchi imepigina vilivyo hongera kwa timu na wanayanga bila kuwasahau majirani zetu waliohudhuria uwanjaniMaxmizer uko wapi Mkuu?
Usijali Mkuu pamoja sana. Japo ratiba zao zinatubana sana.nimefika mkuu japo nimechelewa timu ya wananchi imepigina vilivyo hongera kwa timu na wanayanga bila kuwasahau majirani zetu waliohudhuria uwanjani
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO[emoji375][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu tukiongea wanasema tunalalamikaUsijali Mkuu pamoja sana. Japo ratiba zao zinatubana sana.
Hakika Mkuu. Ila wacha twende nao tu hivyo hivyo tutafika tu.
Naona mmeingia nusu fainali ya Umisenta ngazi ya Taifa mna stahili pongeziNjoo tumalizie kucheka basi Mkuu π π π π
Yetu machoLipuli hawezi kumfunga tena Yanga....Atapigwa palepale 2-0
Hahaaa. Mseme mtakavyosema. Sie haooooo.Naona mmeingia nusu fainali ya Umisenta ngazi ya Taifa mna stahili pongezi
Yatakuwa kama jana tu.Yetu macho
Mtani, jana ulikuwa umeshikilia nn?..sio kwa bahati hiyooo...Yatakuwa kama jana tu.
πππ Mtani na hiyo bahati tunakwenda nayo mpaka FINAL.