Hahaaa. Hii kubwa kuliko Mtani.Me simu huwa naweka kwny chaj Simba akishinda natoa kwny chaj tukifungwa huwa naacha mpaka iwe imejaa chaj
Na data sikuwashaHahaaa. Hii kubwa kuliko Mtani.
Hivyo juzi na Kagera hukuitoa mpaka ikajaa. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
hahaha nisamehe mtani network ilikuwa chini sana siku iyo nikashindwa reply. Hali ya bakuli ni gani kwanzaNipo Mtani. Naona ukapotezea Tag langu mechi na Kagera.
Hahaaa. Pole sana Mtani.Na data sikuwasha
Hahaaa. Usijali Mtani.hahaha nisamehe mtani network ilikuwa chini sana siku iyo nikashindwa reply. Hali ya bakuli ni gani kwanza
Mmejipanga Ku challenge ma billion yetu tuliyovuna caf??? haha ngoja tusubiriHahaaa. Usijali Mtani.
Bakuli liko poa na Matunda yake mtayaona Msimu mpya wa TPL 2019 - 2020.
Mtani naomba ratiba Ya Simba Sport ClubHahaaa. Pole sana Mtani.
Yah! Na ndio sababu wanasema hakuna kinachoshindikana chini ya jua.Mmejipanga Ku challenge ma billion yetu tuliyovuna caf??? haha ngoja tusubiri
Hiyo inapatikana kwenye page ya Managha Mtani. πππMtani naomba ratiba Ya Simba Sport Club
Nimecheka sana ujue ulivyosema Mara tatu mfululizo mtaniYah! Na ndio sababu wanasema hakuna kinachoshindikana chini ya jua.
Hivyo mujipange sababu huu utofauti wa Points hautakuwepo tena yaani tutakwenda jino kwa jino mpaka kieleweke.
Kutuiga kuchukua mara tatu mfululizo ka sie hilo musahau kabisaa.
Umecheka nini sa Mtani?Nimecheka sana ujue ulivyosema Mara tatu mfululizo mtani
Ulivyotia msisitizo tusiwaige Ku chukua Mara tatu et tusahau, unamjua uchebe vizuri lakini mtaniUmecheka nini sa Mtani?
Hahaaa. Hata kama Mtani.Ulivyotia msisitizo tusiwaige Ku chukua Mara tatu et tusahau, unamjua uchebe vizuri lakini mtani
Kwaiyo mwaka huu umekubali mtani? hahah asanteHahaaa. Hata kama Mtani.
Hilo musahau.
Nishakubali sababu kama matumaini yapo ni hafifu sana Mtani.Kwaiyo mwaka huu umekubali mtani? hahah asante
Hakuna siku niliudhika kama mechi ya kagera mtani ilitupunguza kasiNishakubali sababu kama matumaini yapo ni hafifu sana Mtani.
Na mechi ya Ntibwa ndio ikaharibu zaidi.
Sa mie kwangu ikawa kinyume kabisaaa. Nilifurahi mbaya Mtani.Hakuna siku niliudhika kama mechi ya kagera mtani ilitupunguza kasi
hahaha mtani bhaanaSa mie kwangu ikawa kinyume kabisaaa. Nilifurahi mbaya Mtani.
Sa iv mnajifanya hamjui ratiba za Simba Sport ClubHiyo inapatikana kwenye page ya Managha Mtani. [emoji3][emoji3][emoji3]