Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Safi Yanga!! mjiandae na Champions League siyo kila mwaka mnakuwa ngazi!
 
Mgawanyo wa majukwaa upo...basi fujo tu.haya hongera...tuache tuendelee na Dodoma
 
Wakuu Leo kumejitokeza mambo ya ajabu katika mechi ya Yanga na Toto ambapo tiketi za shs 5000 kwa ajili ya jukwaa kuu ziliuzwa shs 10,000/ eti kwa utetezi kuwa kulikuwa na typing error. TRA mpo?
 
Hongera sana kwa Yanga japo Toto wamejaribu kubana sana leo..........
 
Poleni wakazi wa Mwanza! Walijua yanga mtajaa sana leo
 
Uchakachuaji ni mpaka gorini,(kipa wa Toto alikua anajigeuzageuza, wakati mwingine atambaatambaa na mpira gorini akisubiri mchezaji yeyote wa Yanga ajitokeze ili amugongeshe uingie kwenye nyavu ) ndilo soka la kibongo hilo
 
Uchakachuaji ni mpaka gorini,(kipa wa Toto alikua anajigeuzageuza, wakati mwingine atambaatambaa na mpira gorini akisubiri mchezaji yeyote wa Yanga ajitokeze ili amugongeshe uingie kwenye nyavu ) ndilo soka la kibongo hilo

Hata maji maji nao walikuwa hawakimbii kabisa na kukwepa pasi zao achilia mbali kupasiana sana kwenye goli lao.Hata ile penati ya simba ilikuwa ni ya makusudi kabisa sema tu Mungu mkubwa jamaa akakosa
 
Samahanini sana wana jf najua sio mahali pake lakini napenda kuto pongezi kwa Timu ya Yangwa kwa kutwaa Ubigwa wa Vodacom. Matokeo ya leo SIMBA 4 MAJIMAJI 1,, YANGA 3 TOTO AFRICANS 0 ,,, KWA HIYO YANGA AMEKUA BINGWA KWA TOFAUTI YA GOLI 1.

Acha utani bwana...samahani ya nini wakati unajua kabisa unafanya makusudi....?
 
Wakuu Leo kumejitokeza mambo ya ajabu katika mechi ya Yanga na Toto ambapo tiketi za shs 5000 kwa ajili ya jukwaa kuu ziliuzwa shs 10,000/ eti kwa utetezi kuwa kulikuwa na typing error. TRA mpo?

Kazi ya CCM hiyo.............ha ha ha ha ha ha ha ha....................
 
Back
Top Bottom