Hamjaridhika kucheza mechi au mechi kuchezwa Iringa?PRISON VS YANGA SASA NI SAMORA IRINGA KESHO.
Bodi ya ligi Tanzania bara imekata mzizi wa fitna kwakuuhamishia mchezo wa Tanzania Prison dhidi ya Yanga katika uwanja wa SAMORA ulioko mkoani iringa.
Uongozi wa Yanga umethibitisha kupokea Email ya bodi ya ligi inayoelekeza maamuzi hayo mapya juu ya mchezo huo unaotakiwa kuchezwa kesho.
“Ni kweli, match wamepeleka Samora Iringa” lakini bado hatujaridhika”
.
Yanga tayari ilikuwa imeshaanza maandalizi yakurejea daresalaam jioni ya leo ikitoka Mbeya, hivyo kwa mabadiliko hayo timu hiyo inaanza Safari yakuelekea mkoani Iringa.
Wewe me Me Au Ke. .?Hahahahaaa. Ila nyieee. Ipo siku yenu Mtani.
Najua hiyo siku hamtajibu tags zangu na hata nikiwamention hamtakuja.
Mechi kuchezwa Iringa. Wakati haikuwa mipango hiyo ya timu kusafiri mpaka huko.
HahahaSoka la Tanzania huwa linakera sana Mkuu. Yaani yule Mama alinikera sana.
Watasema tunataka ushindi wa kupewa ila pale tulistahili kupata penalties.
Wapo shamba gani tena vijana wetu
Ndio Yule Mama alitunyima Penalti au nadanganya Mtani? 😉Hahaha
Eti shamba jamani lol.Wapo shamba gani tena vijana wetu