Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mikia leo wameshinda...bac leo watasherehekea kwa kula wali na kambare wanaowafuga pale jangwani....
 
H
Aya bibie kwa leo umesameheka, ila utakapoangalia marudio usisite kuleta maoni yako maana kwenu Wananchi mkishinda ndio refa yupo fair lakini kinyume chake inakua nongwa🀣🀣🀣
Refa kaibeba yanga? Kweli nyie ni mbumbumbu........yule alichezesha mechi ya mbeya city atakuwa Hi mdogo wa msomali maana alikuwa anafanya makusudi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…