Ilikuwa hatari tupu hapo kati,tena kipindi cha pili hao vijana ni kama walitiwa ndimu na pilipili kwelikweli,mana vikina mkude miguu ilitepeta kama gari za udongoIla Niyonzima, Tshishimbi , Kipenseli walileta sana uhai jana aisee.
Ila Benchi la Ufundi jana lilifanya kazi kubwa sana kutupangia kikosi ambacho hakikuwaangusha.Kiburi cha Molinga vs Biashara united chamuweka nje ya kikosi cha leoView attachment 1312226
😂😂😂 ongeza sauti Mkuu.Wabangaizaji
Nilikutumia salam jirani.[emoji23][emoji23][emoji23] ongeza sauti Mkuu.
Uwage unatabiri Mvua tu ndio saizi yako haya ya Mpira waachiage wengine Mkuu.
Mbona ukaishia hapa kutuletea Updates Mkuu. Ikawaje tena baada ya hili goli moja? 😂😂
Na mie nakazia Hongera ziende kwa wachezaji kwani walijua kujituma sana.Full time 2-2! Hongereni sana wachezaji wetu kwa kupambana kiume. Kutoka 2-0 mpaka 2-2 Ft si kazi nyepesi.
Li Kagere lilishangilia kwa nyodo likifikiri mpira umekwisha! Likasahau kwamba mpira ni dk 90!
😀😀😀Goli la kwanza la Yanga inasemekana Kipa wa Simba kakata Shanga...
Kipenseli yule si mtu mzuri yaani nusu avunje mbavu za Manula.
Yaani kuna Muda tuliwavuruga sana Mkuu. Mi niwaambiage wapunguzage ngenga.
Hivyo ana sitiresi za wapi atapata ada. 😀😀😀*Tusimpe lawama refa hii ni January na yeye anasomesha..*[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umeonaeee. Yaani washukurugi hilo.Simba bila kubebwa na waamuzi ingekuwa nafasi ya Tisa huko sahz
Mkiangalia vizur hiyo VAR yenu mlichora humu ndani mtajua kwamba kosa la Yondani ilikuwa ni red kadi moja kwa moja isiyo na ubishiHii simba na vichezaji vyao vya magazetini wasipobebwa na waamuzi ni wepesi zaidi ya pampasi ya mwanangu Lionel
Wamezoea Mbeleko na jana imejidhihirisha. Hawana mpira wa kutisha kabisa.Hii simba na vichezaji vyao vya magazetini wasipobebwa na waamuzi ni wepesi zaidi ya pampasi ya mwanangu Lionel
Nyie mnaokaa kujitapa ni wa 16 caf hiyo sio Past Mkuu. Au tafsiri ya Past kwako imekaaje Mkuu?Kama unajua maana ya historia huna maana ya kuisifia yanga. Historia huzungumzia mambo yaliyopita. Muhimu ni future na siyo past
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaaa. Yaani ilikuwa balaa Mkuu. Ila huu usajili mdogo umetusaidia mno.Ilikuwa hatari tupu hapo kati,tena kipindi cha pili hao vijana ni kama walitiwa ndimu na pilipili kwelikweli,mana vikina mkude miguu ilitepeta kama gari za udongo
Hiyo ni present mkuu. Hakuna mpya iliyotoka kuifanya hiyo iwe pastNyie mnaokaa kujitapa ni wa 16 caf hiyo sio Past Mkuu. Au tafsiri ya Past kwako imekaaje Mkuu?
Nini maana ya Past?Hiyo ni present mkuu. Hakuna mpya iliyotoka kuifanya hiyo iwe past
Sent using Jamii Forums mobile app