Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread


Heri ya Mwaka Mpya Mtani
 
Ses naaona jana mmefukia kaburi la Mtibwa.
Yule muhamasishaji wenu si alisema yale ya Zanzibar ni mashindano madogomadogo? Hebu tuyafute ya Mapinduzi, sote tumerudi kwenye mashindano makubwa ya TPL na matokeo yake ndio kama hivyo, nyie mmelewa sukari sisi tumechana mbao na kuikatakata tayari kwa kutengenezea fenicha
 
Uongozi wa klabu ya Yanga umemrejesha kikosini mshambuliaji wake Mcongomani David Molinga

Jana Afisa Habari wa Yanga Hassan Bumbuli alimtaja Molinga miongoni mwa wachezaji sita walioachwa

Hata hivyo nyota huyo aliyeifungia Yanga mabao manne kwenye ligi, amerejea leo na jioni ameshiriki mazoezi

Imefahamika kuwa Yanga imemrejesha Molinga baada ya kuachana na mpango wa kumsajili Owe Bonyanga nae kutoka DR Congo
 
Mnatapatapa sana ujueπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…