Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Mie kwa hili swala la Yanga kwangu huu msemo wa nyota njema siupi nafasi Mtani.No, mimi niko kwenye "Nyota njema huonekana asubuhi" na kinyume chake. Ila ni kwa hili swala la Yanga pekee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie kwa hili swala la Yanga kwangu huu msemo wa nyota njema siupi nafasi Mtani.No, mimi niko kwenye "Nyota njema huonekana asubuhi" na kinyume chake. Ila ni kwa hili swala la Yanga pekee.
Mie kwa hili swala la Yanga kwangu huu msemo wa nyota njema siupi nafasi Mtani.
😀😀 nilijua tu Mtani ni lazima uupe nafasi huo msemo.Sawa mtani, ila ndo hivyo. Mimi kwa swala hili naupa nafasi.
😀😀 nilijua tu Mtani ni lazima uupe nafasi huo msemo.
Haya karibu Taifa kesho tunakipiga na Azam.
Uongozi wa klabu ya Yanga umemrejesha kikosini mshambuliaji wake Mcongomani David Molinga
Jana Afisa Habari wa Yanga Hassan Bumbuli alimtaja Molinga miongoni mwa wachezaji sita walioachwa
Hata hivyo nyota huyo aliyeifungia Yanga mabao manne kwenye ligi, amerejea leo na jioni ameshiriki mazoezi
Imefahamika kuwa Yanga imemrejesha Molinga baada ya kuachana na mpango wa kumsajili Owe Bonyanga nae kutoka DR Congo
Kijana anatumia nguvu nyingi kutulazimisha tumuone kocha wetu si mzuri. Aende akamchambue kocha wao kwanza. Au atuchambulie hapa tumsomeDuuh! Hivyo na wewe Mtani wataka kusema kwa ile mechi moja basi kocha wetu hafai kisha hajaanza na nyota njema? Uko siriazzz kweli Mtani?
Hizo methani kwa baadhi ya vitu zinakuwa sahihi kabisa ila kwa vitu vingine hapana kwa kweli Mtani hasa kama hiki tunachokiongelea Hapa.
Wewe huko kwako vipi nyota ishachafuka huko zenji, haitatakasika tena eti!?Hamna kitu kama hicho nadhani tu yule Kocha kaanza na gundu.
Sababu hata huyo Mkwasa si mzuri kiviile.
Hahahaaa. Haya ni yako Mtani.Acha kutudanganya Molinga kagoma kuondoka[emoji16]
😀😀😀 Watani zetu hao wanapenda sana kututoa relini.Kijana anatumia nguvu nyingi kutulazimisha tumuone kocha wetu si mzuri. Aende akamchambue kocha wao kwanza. Au atuchambulie hapa tumsome
Aisee naona umekuja na nguvu mpya, nipe mtazamo wako unaonaje leo tutashinda kweli? Au tusubiri kunyweshwa juisi ya Ukwaju?
MORRISON AANZA MAZOEZI YANGA SC
Kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga Bernard Morrison leo ameshiriki mazoezi kwa mara ya kwanza baada ya kusajiliwa na mabingwa hao wa kihistoria.
Morrison alipokewa kwa shangwe na wachezaji wenzake huku Molinga akiongoza shangwe la mapokezi ya winga huyo teleza.
Hakuna shaka ujio wake utaongeza zaidi makali ya safu ya ushambuliaji ambayo imesukwa upya.
Cc. Mtani Sapta Sapta. 😎😎😎
Tusubiri tuone Mtani. Kesho asubuhi tu ntakuja tuangalie. Japo sidhani. 😎Mtani leo ile methali ya wahenga ya "Nyota njema huonekana asubuhi" ambayo kinyume chake pia ni sahihi.
Tunashinda hii mechi Mtani. Hamna wa kunyweshwa Ukwaju wala kula Ice Cream leo.Aisee naona umekuja na nguvu mpya, nipe mtazamo wako unaonaje leo tutashinda kweli? Au tusubiri kunyweshwa juisi ya Ukwaju?
#Mechi35goli1
Tusubiri tuone Mtani. Kesho asubuhi tu ntakuja tuangalie. Japo sidhani. 😎
Leo tunapata matokeo.
"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
NI SIKU NYINGINE TIMU YA WANANCHI IKO MAWINDONI KUZIWINDA POINTS 3.
Tunashinda hii mechi Mtani. Hamna wa kunyweshwa Ukwaju wala kula Ice Cream leo.
#Hebuwachakuwangabasimtani.