Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Ila goti likishaguswa maisha ya kucheza soka yanakua mashakani. Wengi waliopatwa na changamoto hiyo wakirudi dimbani wanakua hawachezi kwa viwango vyao vya awali na pia ni rahisi kujitonesha tena. Tunamuombea kila la heri na afya njema
 
Kama kweli kelvin alifanya hivyo mwalimu yupo sahihi,kazi kwa mazoea inabidi zife. Labda kama anadai kama zamani
 
Ni kweli yanaweza yakaisha juu juu ila binafsi siamini kama tuhuma ni za kweli.

Hahaha jina linasomeka hivi 'twaiziem' hicho ni kifaransa
Troisième Ceil = Third Eye
Simba kama alichosema kabwili ni uongo wamfungulie mashitaka ili uchunguzi uanze. Mana kawachafua sana. Na simba isipomshitaki kabwili tutajua ni kweli
 
Sawa,ila tutakapowafunga simba kwenye game ya pili apige tu mbwembwe kuanzia sekunde yabkwanza hadi mwisho. Na ikibidi atembee juu ya vichwa vya kina nyoni na wawa, ha ha ha
 
Ilipo tupo......
 
Ila Yondani amezidi sasa, sijui viongozi wanamchekea mana kila kocha lazima alalamike kuhusu tabia zake mbovu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana lao tu waliwekage wazi sababu kwa hali hii tutakuja jikuta leo tunacheza Arusha kesho kutwa Iringa. Ili mradi tu huku wakidai muda hautoshi.
YANGA, MWEZI 1 MECHI 9

**RATIBA YA YANGA FEBRUARY**


1) 02/02/2020 Yanga SC vs Mtibwa Sugar-National Stadium 1600hrs;

2) 05/02/2020 Yanga SC vs Lipuli FC- National Stadium 1600 hrs;

3) 08/02/2020 Ruvu Shooting vs Yanga SC National Stadium 1900hrs;

4) 11/02/2020 Yanga SC vs Mbeya City- National Stadium 19:00hrs

5) 15/02/2020 Young vs Tanzania Prisons National Stadium 1900hrs;

6) 18/02/2020 Police Tanzania vs Yanga SC- Ushirika Stadium, Kilimanjaro, 1600hrs;

7) 23/02/2020 Coastal Union vs Yanga Mkwakwani Stadium, Tanga 16:00hrs

8) 25 or 26/02/2020 Yanga SC vs Gwambina FC (FA);

9) 29/02/2020 Yanga SC vs Alliance FC, National Stadium, 1600hrs;

Mwezi February una jumla ya Mechi tisa, Sita-Mwenyeji, Tatu-Ugenini

HATIMAYE BODI IMEWAKUMBUKA

*Nlitaka nishangae yani tff waisahau yanga kwenye ratiba kweli!? Wamejifanya kutusahau kumbe wanajua mkakati walopanga wa kuimaliza Yanga. Pumbavu zao na tutatoboa tu.* *Hiyo timu yao pendwa wanayoibeba itawaumbua tu!*
 
Ila goti likishaguswa maisha ya kucheza soka yanakua mashakani. Wengi waliopatwa na changamoto hiyo wakirudi dimbani wanakua hawachezi kwa viwango vyao vya awali na pia ni rahisi kujitonesha tena. Tunamuombea kila la heri na afya njema
Kweli usemalo ila kama usemavyo tumuombee sababu ndio ajira yake ile.
 
Simba kama alichosema kabwili ni uongo wamfungulie mashitaka ili uchunguzi uanze. Mana kawachafua sana. Na simba isipomshitaki kabwili tutajua ni kweli
Kwani hujasikia walidai wameiachia Kamati gani sijui huko ifanye uchunguzi. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Manara aliishadadia wee mwishowe kaishia kutulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…