Mmemfanyia majaribio au ni zoazoa tu?🤣🤣🤣Na ameshatua tayari Mkuu. Tusubiri tuone Klabu walichokidhamiria kama kitatimia.
Haya waachie Yanga Ses.Mmemfanyia majaribio au ni zoazoa tu?🤣🤣🤣
Hatutaki mje mtimuane kwa bakora Shadeeya🤣Haya waachie Yanga Ses.
Umeona eeehHakika Mkuu. Wacha Ituuwe. 💃💃💃
"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Na pia Wanayanga wanaridhika sana mchezaji akitembea juu ya mpira, ushindi hauna maana sana kwao🤣🤣🤣Leo Yanga tutaambulia point 1 tu au kukosa kabisa, kwa sababu sisi hatutaki kucheza mpira tunachotaka ni kulalamika tu.
Tucheze mpira wana Yanga wenzangu haya malalamiko hayatatufikisha popote.
Yanga mbele mwiko daima nyuma.
Ndio wanachofurahia utasikia haya mambo tunayaona ligi ya south Africa ,namungo wako serious wajichunguze sanaNa pia Wanayanga wanaridhika sana mchezaji akitembea juu ya mpira, ushindi hauna maana sana kwao🤣🤣🤣
Na pia Wanayanga wanaridhika sana mchezaji akitembea juu ya mpira, ushindi hauna maana sana kwao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]