Hahahahaa. Lol.Leo Yanga tutaambulia point 1 tu au kukosa kabisa, kwa sababu sisi hatutaki kucheza mpira tunachotaka ni kulalamika tu.
Tucheze mpira wana Yanga wenzangu haya malalamiko hayatatufikisha popote.
Yanga mbele mwiko daima nyuma.
Na pia Wanayanga wanaridhika sana mchezaji akitembea juu ya mpira, ushindi hauna maana sana kwaoπ€£π€£π€£
Ndio wanachofurahia utasikia haya mambo tunayaona ligi ya south Africa ,namungo wako serious wajichunguze sana
Baadae nitaisaka Mkuu. Ila si wanasemaga ni 5imba damu yule.Nani ana ile picha ya Wallace karia analishwa keki ktk tafrija ya simba akiwa na jezi ya simba airushe hapa
Umetisha Mkuu.Labda tucheze na kombaini fc yenye simba, tff na mtibwa kidogo tunaweza pata shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Walisha zipata salaam mamaUmetisha Mkuu.
NAKAZIA. Hii inaitwa Wape Salaaam.
Siyo tu simba damu na mwanachama mwenye kadi yake hai, namba tu ya kadi ndo sinaBaadae nitaisaka Mkuu. Ila si wanasemaga ni 5imba damu yule.
Zishawafikia wamejawa na hofu sanaUmetisha Mkuu.
NAKAZIA. Hii inaitwa Wape Salaaam.
Duuu[emoji23] [emoji23]
DuuhSiyo tu simba damu na mwanachama mwenye kadi yake hai, namba tu ya kadi ndo sina
Na mwezi wa tatu si mbali kabisa.Zishawafikia wamejawa na hofu sana
πππ Wamezidi.Duuu[emoji23] [emoji23]
Timu inaburudisha sasa sio ile ya Zahera.
Timu inaburudisha sasa sio ile ya Zahera.
Yaani unaangalia mpira Timu ya Wananchi huku moyo ukiwa na amani kabisa.
Hakika Mkuu.Mipango ya goli inaonekana, ilikuwa n swala la muda tu nyavu za mtibwa kutingishika
Luc n kocha bora kawabadilisha sana wachezaj ndan ya kipind kifupi tuh
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahaha, ila naona kuna mipira mingi mnapoteza kati, all in all mnacheza vzrTimu inaburudisha sasa sio ile ya Zahera.
Yaani unaangalia mpira Timu ya Wananchi huku moyo ukiwa na amani kabisa.
Doooh huko si ndo watakutana na gari lililogoma kupunguza mwendo!?Na mwezi wa tatu si mbali kabisa.