Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Pole maana msipopata ushindi na simu inaisha chajiDonnie Charlie kulikoni Mkuu? π
Kwa uzuri si mazuri ila kwa kuwa ndio yaliyopatikana hamna jinsi hapo.Mimi naona kama mazuri au macho yangu jamaani[emoji41][emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante. Kuna maisha mengine nje ya Jf ujue. πππPole maana msipopata ushindi na simu inaisha chaji
Ushakunywa chai Shadeeya? Karibu sana tunywe chai kuondoa hasira na uchovu, maana hizi mechi za usiku bana saa zingine goli halionekani tunaishia kumlenga kipa au kupaisha mpira njeπππAhsante. Kuna maisha mengine nje ya Jf ujue. πππ
Uwiii!! Hata sina hamu na hiyo chai hapa. ππππUshakunywa chai Shadeeya? Karibu sana tunywe chai kuondoa hasira na uchovu, maana hizi mechi za usiku bana saa zingine goli halionekani tunaishia kumlenga kipa au kupaisha mpira njeπππ
Hahahaaaa, nimekubali mamii, kweli kukosa penati ni jambo la kawaida kama ilivo kukosa kuondoka na point tatu na hatimaye kuukosa ubingwaUwiii!! Hata sina hamu na hiyo chai hapa. ππππ
Kukosa penalti mbona kawaida hiyo na ndio sababu kuna wengine waliikosa mchana kweupe.
#Johnbokoadebayo
Ahsante. Kuna maisha mengine nje ya Jf ujue. πππ
Na zaidi ni katika kipindi hiki ambacho droo zimefuatanaAhsante. Kuna maisha mengine nje ya Jf ujue. πππ
Timu ipi hyo? Kama ni hii yanga hauko sahihi
Let's b positive, timu yetu ilicheza vema. Tena ukizingatia tulicheza na prison ambao ni miongoni mwa timu bora kabisa hapa nyumbaniHaya ndio matokeo yetu ya jana.
Uchezaji wa Yikpe nao uliuelewa Mkuu?Let's b positive, timu yetu ilicheza vema. Tena ukizingatia tulicheza na prison ambao ni miongoni mwa timu bora kabisa hapa nyumbani