Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hakika japo Mkwasa amesema eti tumpe muda sasa najiuliza muda huo apewe mpaka lini wakati ligi inaelekea mwisho mwisho hii.

Mana anadai mazoezini yupo vizuri ila akija Uwanjani hamna kitu.
Mkwasa naye kocha bana Shadeeya?!
 
[emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusema ukweli timu yetu inasikitisha sana, yaani kila match ni kama wanaenda uwanjani kukamilisha ratiba tu. Morali ya wachezaji wote hiko chini mno, nadhani kuna tatizo somewhere si Bure na viongozi wapo tu wala hakuna juhudi zozote za kujikwamua, kazi ni kina Nugaz kujimwambafy tu kwenye vyombo vya habari eti wape salaam, na salaam tumezipata kweli. USHAURI: Viongozi na bench LA ufundi mjitafakari, ninahisi viatu hivi vimewapwaya. Huyo NUGAZ aache mbwembwe na tambo za mitandaoni anajichoresha tu. Mnabowa sana, nakaribisha wa kunikosoa kakini huo ndiyo ukweli. Halafu hivi aliyemsajili Yikpe ni nani? Mungu anakuona aisee, hivi mlikosa washambuliaji hadi Yikpe anatufaa? Mbona kuna vijana wa hapahapa tu na ni wazuri tuu ambao tungewapata hata kwa gharama ndogo tu na matokeo tungepataa? Yanga tunakwama wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…