Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mie kesho nitakuwa online wakati wa halftime na baada ya mechi, nitakuwa busy utadhan mimi ndo msaidizi wa Basena na humu JF ingekuwa ni kwa sauti kesho baada ya mechi nisingeweza kuongea maana sauti inaweza isitoke ni kushangilia hadi mwisho kama mashabiki wa liverpool.

Tunataka tuwakumbushe miaka ya 2000 hadi 2009 mlipokuwa mnachezea kichapo .
 
hahahhaha!!!! Sijaona kitu hapa.. Kesho hakuna penalt ya kupewa.
 
nyie dogo mishikaki (mnyama) ya msimbazi.... embu shikeni adabu kwa wakubwa zenu ebo!!

angalieni stats hizi hapa chini kwa mataji makubwa hapa nchini na EA:

mishikaki ya msimbazi = 23 trophies (TZ championship 17 + EA championship 6)
yanga afrika = 26 (TZ championship 23 + EA championship 3)
 
July 19, 1977 : Simba 6 Yanga 0. WAFUNGAJI: Abdallah Kibadeni (3) dk. 10, 42 na 89, Jumanne Hassan 'Masimenti' (3) dk. 60 na 73, Selemani Sanga alijifunga dk. 20. Kumbukeni hii mechi inachezwa July pia
Wakumbuke pia tar 2 July 1994...Simba 4 Yanga 1!!!
 
Yanga Daima Mbele.......Nyuma MwikoYanga Imara..........Yanga Daima
 
hahahhhahmkuu Balantanda umeiona hii?
Hahaaaaaaaaaaaa........Simba kwa Historia tu hatuwawezi.....Lol........Na hii je,Juni 01, 1968 Yanga Vs Sunderland 5-0......Wafungaji: Maulid Dilunga dk. 18 (penalti), Dilunga dk. 43, Salehe Zimbwe dk. 54, Zimbwe dk. 89, Kitwana Manara dk. 86.
 
hahahhaha!!!! Sijaona kitu hapa.. Kesho hakuna penalt ya kupewa.
Hebu nipe kikosi chenu cha kesho basi.......Btw.....Kuna tetesi kwamba Jerry Santo,Juma Kaseja na Amir Maftah hawachezi kesho sababu wana kadi mbilimbili za njano,ya kweli hayo?......Pia Mohamed Banka bado ni majeruhi,anaweza asicheze kesho.........Hahaaaaaaa.....'Maumivu ya kichwa huanza poooooooole pole'........
 
Hii imetulia saaaaaaaaaaaaaaaana.. mwenye wivu na ajinyonge.
 
Hapo 11 hapo!
 
Nilisikia mtangazaji wa star tv anasema Chacha Marwa ''Muraa&'' ni mnyeramba wa Singida nikachoka kabisa. Au ni yale mambo ya kununua jina kama ya mh. HK?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…