yanga kesho watainama kama hao mstari wa mbele simba wataingiza ma goal.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safi kabisa mkuu wangu ndetichia...tunamshukuru Mungu siku zinaenda..tuzidi kuliombea chama letu kesho tufurafi.st habari za saizi mi ninakusalimia..
hahahhaha!!!! Sijaona kitu hapa.. Kesho hakuna penalt ya kupewa.Mnalo kesho....Chama letu litakuwa hivi hiyo kesho....1. Yaw Berko2. Shadrack Nsajigwa 'Fuso'3. Oscar Joshua4. Chacha Marwa 'Muraa'5. Nadir Haroub 'Cannavaro'6. Juma Seif 'Kijiko'7. Godfrey Taita8. Nurudin Bakari9. Davies Mwape10. Jerry Tegete11. Kigi Makassy
WIKIPEDIA, katika former notable players,with the exception of nonda have got it wrongNkwingwa.....Rangi zisikuchanganye bana.....
Yanga imeanzishwa hata kabla ya TANU na CCM tangu mwaka 1935 na tangu wakati huo inatumia rangi ya njano na kijani.....Hao CCM wenyewe wameiba tu rangi za Yanga.......Wapende tu bana,usiwachukie....
Young Africans S.C. - Wikipedia, the free encyclopedia
Welcome to the Frontpage
my friend masanilo tuko pamoja, Yanga daima mbele,nakesho ubingwa wetu inshaalah.Hivi huyu Magamba hakugundua hizo kadi zilikuwa mpya zote?Yanga Oyeeeeeeeeeeeeeee
heshima yako rev@detroit city.Hivi huyu Magamba hakugundua hizo kadi zilikuwa mpya zote?Yanga Oyeeeeeeeeeeeeeee
mnacheza wenyewe nini? Kumbuka unacheza na mnyama.@detroit ciy.my friend masanilo tuko pamoja, Yanga daima mbele,nakesho ubingwa wetu inshaalah.
st. Ivuga mnyama anauawawa kesho,halafu rage akate rufaa,si ndio sera ya rage?mnacheza wenyewe nini? Kumbuka unacheza na mnyama.@detroit ciy.
Wakumbuke pia tar 2 July 1994...Simba 4 Yanga 1!!!July 19, 1977 : Simba 6 Yanga 0. WAFUNGAJI: Abdallah Kibadeni (3) dk. 10, 42 na 89, Jumanne Hassan 'Masimenti' (3) dk. 60 na 73, Selemani Sanga alijifunga dk. 20. Kumbukeni hii mechi inachezwa July pia
Hahaaaaaaaaaaaa........Simba kwa Historia tu hatuwawezi.....Lol........Na hii je,Juni 01, 1968 Yanga Vs Sunderland 5-0......Wafungaji: Maulid Dilunga dk. 18 (penalti), Dilunga dk. 43, Salehe Zimbwe dk. 54, Zimbwe dk. 89, Kitwana Manara dk. 86.hahahhhahmkuu Balantanda umeiona hii?
You are welcome..........Bala is always here.........Usiogopenatamani niwe karibu na batalanda kesho pale taifa..
Usipotee tu hiyo kesho......Naomba tuwe pamoja mwanzo mwisho........For the good of the game!!!!who gonna change the history?balantanda? Hahahah.. Nope. The story gona repeat again .
Hebu nipe kikosi chenu cha kesho basi.......Btw.....Kuna tetesi kwamba Jerry Santo,Juma Kaseja na Amir Maftah hawachezi kesho sababu wana kadi mbilimbili za njano,ya kweli hayo?......Pia Mohamed Banka bado ni majeruhi,anaweza asicheze kesho.........Hahaaaaaaa.....'Maumivu ya kichwa huanza poooooooole pole'........hahahhaha!!!! Sijaona kitu hapa.. Kesho hakuna penalt ya kupewa.
Hapo 11 hapo!Mnalo kesho....Chama letu litakuwa hivi hiyo kesho....1. Yaw Berko2. Shadrack Nsajigwa 'Fuso'3. Oscar Joshua4. Chacha Marwa 'Muraa'5. Nadir Haroub 'Cannavaro'6. Juma Seif 'Kijiko'7. Godfrey Taita8. Nurudin Bakari9. Davies Mwape10. Jerry Tegete11. EDIBILY JONAS LUNYAMILA