Instagram page, ya simba na page ya manara pia , hata ya MoHeeeee!! Wacha kutudanganya basi na wewe Mkuu.
Page gani tupite?
Hahahaaa. Lol.timu daraja la kwanza ni timu ya kupata bao vs simba ? ni mechi ya kuamuliwa kwa matuta ? huo ndio ujinga wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo digidigi sio sisi, huyo ni lazima afanye anacho fanya, hata kama ni ww ... tofauti na hapo kibarua kinaota nyasi , nazungumzia sisi mashabiki , achana na manara
Labda ya huyo Mo ila huyo ropo ropo alishangilia sana Uwanjani as if hakutegemea.
Mmh. Sikuelewi hata.huyo digidigi sio sisi, huyo ni lazima afanye anacho fanya, hata kama ni ww ... tofauti na hapo kibarua kinaota nyasi , nazungumzia sisi mashabiki , achana na manara
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nilibahatika kuonana na muasisi wa hii neno na akanipigia kigelegele na tukamalizia na kapicha pale jukwaani......Wacha ituue πππ
YANGA NDIO TIMU PEKEE HAPA NCHINI INAYOFUNGA GOLI NA WAPINZANI WANABAKI KULALAMIKIANA WENYEWE NA SI KUMLAUMU REFAUtopolo, leo mwaamuzi walikuwa sawa?[emoji23][emoji23][emoji23]
Wapinzani wao huwaga hawana ujinga wa kulaumu marefa wakati wanajua wamekosea wenyewe, Utopolo fc ndo wenye tabia ya kulaumu marefa wakati makosa wamefanya wenyewe, team inafungwa goli 3 bila na Kagera wanalaumiwa marefaYANGA NDIO TIMU PEKEE HAPA NCHINI INAYOFUNGA GOLI NA WAPINZANI WANABAKI KULALAMIKIANA WENYEWE NA SI KUMLAUMU REFA
Mtamlaumu vipi refa ambae mmeshampa fungu lake ili awape goli za offsideWapinzani wao huwaga hawana ujinga wa kulaumu marefa wakati wanajua wamekosea wenyewe, Utopolo fc ndo wenye tabia ya kulaumu marefa wakati makosa wamefanya wenyewe, team inafungwa goli 3 bila na Kagera wanalaumiwa marefa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kuandaliwa karamu mezani Kwa bwana mngekuwa nafasi kama ya nne au tano hivi. Mana kuna kipindi mlichangamkia fursa kama game 6 au 7 hivi mfululizo mnashinda Kwa kupitia tffWapinzani wao huwaga hawana ujinga wa kulaumu marefa wakati wanajua wamekosea wenyewe, Utopolo fc ndo wenye tabia ya kulaumu marefa wakati makosa wamefanya wenyewe, team inafungwa goli 3 bila na Kagera wanalaumiwa marefa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushaambiwa hawa ni mbumbumbu bro!Mtamlaumu vipi refa ambae mmeshampa fungu lake ili awape goli za offside
Sent using Jamii Forums mobile app