Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

*MAISHA YANA KWENDA KASI SANA YANI SIMBA LEO ETI ANA TAMANI ANGEKUA NDO KMC🤣🤣🤣*
 
Kiukweli yule kocha Mimi nina imani nae sana labda uongozi tu wakati mwingine nauona kama umezubaa sana sijui nini kimetokea
 
Jana wachezaji walinikera sana sana tena mno!
 
Jana wachezaji walinikera sana sana tena mno!
Yaani wacha tuitwage Utoporo tu, mi mwenyewe walinikera mbaya wenzao tulitaka tuendeleze furaha wao wanaleta masikhara. 😔

Kama Molinga kuna nafasi ya wazi aliipoteza kizembe sa sijui mawazo yake yalikuwa wapi sababu yale maamuzi ya haraka aliyakosa kabisa.
 
Molinga uwezo Mdogo sana,hao ni aina ya wachezaji tunaopaswa kutemana nao siku ligi tu inapoisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…