Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Wewe ndio huelewi

Hicho unachong'ang'ania kiwe, kimeshaairishwa, unatamani kurudisha wakati nyuma [emoji3526]
Mbona mnashindwa kuelewa mashabiki wa yanga?.
GSM Hawajajitoa yanga .
Ila WAO WAMESEMA HAWATATOA TENA HELA AMBAZO HAZIPO KWENYE MKATABA FULL STOP..
Mkataba wenu na wao upo paleee paleee.
Ila ilaaaa.....
1.kusajiliwa wachezaji msahahau.
2.milioni 10 za ushindi msahahau.
3.hela za kukaa hotelini msahahau.
4.
5.
6.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BARUA YA GSM KWENDA YANGA.

MWENYEKITI,
YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB,
P.O.BOX 15202,
DAR ES SALAAM.

Ndugu. YAH:MKATABA WA YOUNG AFRICANS SPORTA CLUB NA GSM TANZANIA LIMITED.

Husika na kichwa cha habari hapo juu. Kwa heshima na taadhima nachukua fursa hii kuushukuru uongozi mzima wa Klabu yetu ya YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB "YANGA" TIMU YA WANANCHI kwa ushirika wenu kwenye mambo kadha wa kadha kwenye kuirudishia heshima na kutatua changamoto nyingi zilizokua zinaikabili Klabu yetu.

Ikumbukwe kuwa changamoto nyingi ziliikumba na kuendelea kuikabili timu yetu na sisi tulijitahidi kuzitatua ingawa hazikua sehemu ya mkataba wetu.
NAZO NI
1.Kumrudisha LAMINE baada ya kutukatiza mkataba wake.
2.Kusajili wachezaji katika kuiongezea nguvu klabu yetu. I.Bernad Morisson. II.Ditram Nchimbi III.Haruna Niyonzima IV.Adeyum Saleh
3.Kuwaleta na kulipa gharama zote za KOCHA MKUU,KOCHA WA MAZOEZI NA VIUNGO (FITNESS COACH na PHYSIO)gharama hizo ni pamoja na mishahara, nusafiri wa ndani,nyumba na ticket za kwenda na kurudi makwao(BELGIUM & SOUTH AFRICA). 4.Kulipa Mishahara.
5.Kulipa Bonas za ushindi ktk mechi zote timu iliposhinda kuanzia Mwezi Desemba 2019.Pamoja na ahadi kubwa ya ushindi kwa mechi dhidi ya watani wa jadi na kuitekeleza
baada ya ushindi huo.

5.Kulipa gharama zote za CAMP/HOTEL kwa timu kuanzia mwezi Desemba 2019.

6.Tiketi za ndege kwa wachezaji na viongozi.

7.Kulipa na kugharamia uwanja wa mazoezi kwa ukamilifu wake.Hii ni pamoja na ukarabati wa uwanja na ununuzi wa vifaa vya mazoezi.

8.Kulipa baadhi ya madeni ya nyuma ya usajili wa wachezaji. Aidha,yote hayo yamekua yakifanyika kwa MAPENZI MEMA kwa klabu yetu bila kujali gharama nyingi na kubwa tunazolipa.

Pia,Katika kuelekea mabadiliko ya kiundeshaji wa Klabu,GSM ilitafuta wataalam( CONSALTANT)kuja kushauri na kusaidia mabadiliko ya kimfumo pamoja na kupata TIMU kubwa barani ULAYA itakayokuja kuwa ni TIMU RAFIKI katika kukuza maendeleo ya idara zote katika Klabu yetu CONSULTANT huyo yuko tayari na TIMU hiyo pia iko tayari kuja kuanza ushirikiano kwa Gharama za GSM.

Lakini,kumekua na malalamiko mengi sana kutoka kwa baadhi ya viongozi kuwa GSM imekua na ikiingilia majukumu yao na wao ndiyo wenye mamlaka hayo waliyokabidhiwa na WANACHAMA. Kwa masikitiko makubwa kauli hizi pia zimekua zikitekelezwa kwa vitendo

Usimamizi wetu umekua tu kwa yale tunayogharamia na kamwe hatukuwahi kutaka kujua mapato wala matumizi ya chanzo chochote cha Yanga.

Ikumbukwe pia,GSM imejitolea kwa hali na mali katika kuleta YANGA yenye maendeleo yake binafsi kupitia wanachama na KAMWE GSM haina nia ya KUPOKA MADARAKA WALA TIMU kutoka kwa mtu yeyote. YANGA NI WANANCHI NA ITABAKI KUWA YA WANANCHI

Kwa barua hi I,GSM itabaki kuwa mdhamini wa Yanga kimkataba na kutekeleza yale TU yaliyo Kwenye mkataba na kuachana na yote yaliyo nje ya mkataba.

Aidha,kwa niaba ya GSM tunaomba radhi kwa yoyote aliyekwazika na ushirika wetu katika kuijenga Klabu yetu na tuliyafanya hayo kwa mapenzi mema tu.

Tunawatakia kila la heri katika mapambano na tutaendelea kuwa sehemu ya mabingwa wa kihistoria.

DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
FOR GSM GROUP OF COMPANIES
Hahahaha, Mara hii tu
 
Mbona mnashindwa kuelewa mashabiki wa yanga?.
GSM Hawajajitoa yanga .
Ila WAO WAMESEMA HAWATATOA TENA HELA AMBAZO HAZIPO KWENYE MKATABA FULL STOP..
Mkataba wenu na wao upo paleee paleee.
Ila ilaaaa.....
1.kusajiliwa wachezaji msahahau.
2.milioni 10 za ushindi msahahau.
3.hela za kukaa hotelini msahahau.
4.
5.
6.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona mambo magumu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbumbumbu fc.limewashukaaaaaView attachment 1398976

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo Naipenda utopolo sio Official page ya Vyura huyo ni muhuni alieamua kufungua page yake na Bahati nzuri ana Followers wengi kuliko hata Official page ya Vyura.
Kwa hiyo hizo silabi ameandika yeye Kama yeye toka GSM ilipotoa barua uongozi wa Vyura haujatoa tamko lolote wala hakuna official page ya Vyura ambayo imethibitisha kuwa GSM ataendelea na majukumu ambayo hayamuhusu
SHIDA IPO PALE PALE.
 
Barua ya GSM Ina eleweka vizuri tu.
HAWATAFANYA NJE YA MKATABA WENU.
zile milioni 10 za ushindi byee byeee.
Na mengine meeeengi kadhalikaaa
Wamesema STOOOOOP.
na sisi tuna watoto kama nyie yanga wanatutegemea nyumbani..
mpunga UMEKATA GSM.[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa. Nawaza hali uliyonayo now.
 
Mbona mnashindwa kuelewa mashabiki wa yanga?.
GSM Hawajajitoa yanga .
Ila WAO WAMESEMA HAWATATOA TENA HELA AMBAZO HAZIPO KWENYE MKATABA FULL STOP..
Mkataba wenu na wao upo paleee paleee.
Ila ilaaaa.....
1.kusajiliwa wachezaji msahahau.
2.milioni 10 za ushindi msahahau.
3.hela za kukaa hotelini msahahau.
4.
5.
6.

Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅

Ama kweli adui muombee njaa yaani umeandika kwa furaha zote. Hahahaaaa.
20200316_151541.jpg
 
Back
Top Bottom