Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Dah! Afadhali maana kuna watu humu pressure iliku 200!😀😀😀Za chini chini GSM imerudi, ila viongozi wa Yanga wanapaswa kufikiria nje ya box
Haya mambo ya mtu akikohoa kidogo wengine mnabaki bila amani ni ya kizamani sana
Sent using Jamii Forums mobile app