Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Labda kwa sababu Mo katengeneza Sanitizers na kuziuza ktk janga hili la Corona. Kwa maana nyingine kama Mo amechukulia Corona ni fursa basi hawezi omba ugonjwa huu uondoke mapema!
Kwani Moo yeye hataathirika na Covid 19? Mikia wao hawatakimbiwa na wachezaji? Bilioni 20 zenyewe za kununua mikia bado hajaitoa

Mnyero Fc watulie tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli mtupu. Naona hajaongelea suala la 10% nalo inabidi tuache, japo hili hata mikiani huwa wanafanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hapo kasahau tu kitu kingine kikubwa cha wale kamati ya usajili kupambania 10%. Ila tukitumia mawakala wazoefu kweli huko mbele hatutokuwa na kina Yirpe + Molinga
kidunula1 na Chikwuemeka naona kama Pluijm yuko sahihi.

Kwani na sisi tulizidi kusajili wachezaji ilimradi tu mwishowe wakawa watazamaji tu huku wanakula mshahara wetu pasi kuisaidia timu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wizara ya michezo imepanga kuanzia msimu ujao timu zote za ligi kuu Tz bara kuwa na wachezaji Wa kigeni wasiozidi watano tu. Ikiwa hivyo mi naona tutapaswa kuwatema Molinga, Eric Kabamba, Sibomana na Yirpe fasta. Kasheshe itabaki hapa sasa; Shikalo,Lamine,Haruna, Tshishimbi, Morrison. Nani achomolewe ili aletwe Mshambuliaji matata ili timu iwe na idadi ya wachezaji watano Wa kigeni!? Mana piga ua garagaza ni lazima atafutwe mshambuliaji Wa kati japo na winga matata namba 7 nae anahitajika sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hapo kasahau tu kitu kingine kikubwa cha wale kamati ya usajili kupambania 10%. Ila tukitumia mawakala wazoefu kweli huko mbele hatutokuwa na kina Yirpe + Molinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ilishakuwa jipu. Japo nadhani tuwe na subira tu mabadiliko yakishaingia Yanga basi hapo ndio itakuwa mwisho wa hii kitu.
 
Uwiii!! Hapo itakuwa changamoto aisee.

Wameshapitisha tayari au ni wazo wameliwasilisha?
 


Kuna APP yetu jamani tuidownload ipo play store,Ina mengi ya Yanga na hutojuta kuwa nayo.

Daima mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…