Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Halafu eti wanajisifia wametuacha mbali lol.

Mechi kibao magoli ya Offside. [emoji41][emoji41]
Ama kweli biashara asubuhi jioni mahesabu. Wamewahi mapema wakaandaa kitita cha kutosha wamekusanya maponti harakaharaka eti sahzi wanashusha pumzi kwa kutuambia sasa hivi tujiandae vema mana hakutakuwa na malalamiko ha ha ha ha!
 
Ama kweli biashara asubuhi jioni mahesabu. Wamewahi mapema wakaandaa kitita cha kutosha wamekusanya maponti harakaharaka eti sahzi wanashusha pumzi kwa kutuambia sasa hivi tujiandae vema mana hakutakuwa na malalamiko ha ha ha ha!
Wananchi bana, wao ni soka la malalamiko, soka la mezani, soka la kwenye makaratasi🀣🀣🀣
 
Watani zetu tukisema Yanga ni Timu ya Wananchi mjue hadi na nyie mumo na ndio sababu habari kama hizi ambazo nyingi zinaletwa kuturudisha nyuma mnazifahamu kuliko sisi wenyewe.

Karibu Yanga. 😎😎
Nnachowakubali Yanga ni ile kua na roho ngumu. Kwao hata kama jahazi linazama wana mikwara hao utafikiri wanachukua ubingwa wa Afrika🀣🀣🀣
 
Wananchi bana, wao ni soka la malalamiko, soka la mezani, soka la kwenye makaratasi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daaa ila kiukweli ndugu kuna kipindi mlifululiza kushinda kiajabu ajabu hadi nikawachukia viongozi na kujiuliza mbona hawachukui hatua au kutoa tamko!? Halafu mbaya zaidi timu pinzani zilikuwa zinakandamizwa.
 
Daaa ila kiukweli ndugu kuna kipindi mlifululiza kushinda kiajabu ajabu hadi nikawachukia viongozi na kujiuliza mbona hawachukui hatua au kutoa tamko!? Halafu mbaya zaidi timu pinzani zilikuwa zinakandamizwa.
Ndugu yangu Kidunula1 miongoni mwa sifa na dalili ya bingwa wa msimu huo ni kupambana na pia "BAHATI". Hata vitani wakati mwingine unaweza kua na jeshi bora kabisa lakini unahitaji pia bahati. Wahenga walisema "bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi". Kama kuna faulo refa hakuiona ujue na yeye ni mwanadamu. Unaona pale England watu wanasema Liverpool kuna mechi imebebwa na waamuzi!!!

Sasa kwa wenzetu unaamini kuna kitu kama hicho kwamba refa aanaingia kuchezesha ili aibebe timu fulani? Hiyo ndio bahati mkuu
 
Kabla sijakujibu ulichoandika Ses hebu niambie nini sababu ya kuletwa mashine za VAR inamana hawakujua kama kuna waamuzi na washika vibendera?

Refa ndio mwamuzi wa mwisho. Yaani asione offside refa, line one au two ambao wapo palepale kweye eneo la tukio mje muone nyie majukwaani au kwenye TV!? Umeona wapi hiyo dunia nzima!!!!!
 
Ha ha ha japo na huko uingereza kwenyewe watu wamelalamika sana hadi ikafikia wakaanza kuiita Liverpool VAR FC! Wengine wakasema katika usajili Mkubwa waliofanya Liverpool msimu huu ni usajili Wa mchezaji VAR ha ha ha.
 
Kabla sijakujibu ulichoandika Ses hebu niambie nini sababu ya kuletwa mashine za VAR inamana hawakujua kama kuna waamuzi na washika vibendera?
Usiwe na shaka Shadeeya, kama ilivyo kwa Liverpool, VAR itakuja na ubingwa tutachukua.

Lakini tunajua hamtakosa jingine la kutuzushia. Hamkawii kusema tumezicheze hizo mashine ili ziipendelee SimbaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kuna lile goli la pili la Banka hadi mtangazaji akamwambia "aishi manula roho yako muhimu aishi" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Alijua kabisa magoli ya Timu ya Wananchi yanaeza kuua mtu.
Wale vijana wana nia mbaya na manula,hata lile la morrison hadi manula mwenyewe alisema alitaka kumpigia makofi morrison
 
Ha ha ha japo na huko uingereza kwenyewe watu wamelalamika sana hadi ikafikia wakaanza kuiita Liverpool VAR FC! Wengine wakasema katika usajili Mkubwa waliofanya Liverpool msimu huu ni usajili Wa mchezaji VAR ha ha ha.
Ndio hayo ninayosema tutachukua ubingwa mbele hizo VAR mnazozitaka zije kisha mtazusha jingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…