Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Duuh!! πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Hii kubwa kuliko aiseee.
Nimemsikia jana Molinga akihojiwa Wasafi Radio, akilalamika wa Tz mnapenda kufatilia mambo madogo. Anasema mbona yeye kabumbu anachezeshaga tu kwani mwili ni kitu gani bwana! Mbona Lukaku yuko ni mwili kubwa lakini anatiaga goal🀣🀣

Acheni kuwasakama vibonge, nyie wananchi mna nini lakiniii🀣🀣🀣?
 
Manara huyo ndio kutwa kuchonga ngenga kwa vitu vidogo vidogo
 
Naona leo wamewapeni furaha mashabiki wao mtaaniShadeeya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…