Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hatukatai kuwa ni top score ila nikwambie Mtani ile mechi tunashinda bila yeye.Aaaa Shadeeya yule si ni top scorer wetu sasa kwa nini tunamtenga.
Binafsi sioni wakuziba nafasi yake pale labda kama tumekubali kupoteza dhidi ya Mwadui.🐸😜
Migogoro Fc