Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
simba utawajua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
simba utawajua tu
why washabiki wengi wa yanga ni iliterate?????????????????????
why washabiki wengi wa yanga ni iliterate?????????????????????
Mwaka huu mtafungua Masredi Mpaka Mchoke lakini Ubingwa Mnyama atatangazia hapa hapa Jamvini
Mzee kuna ile list unataka ingia huko?
......Heeeee! mzee wa zenj kumbe na wewe mmoja wao wanogombaniaga pilau za Manji......ooops! ila hii itakaa vizuri sasa cos tukienda kuleeeeeee uko darajani.....poa! napata tabu na Balanta tuuu.....kuleeee wote Mitutu!
Bala amefulia sana kisoccer....namwonea huruma Jpili sina mbeleko ya kumbeba!
Mwaka huu mtafungua Masredi Mpaka Mchoke lakini Ubingwa Mnyama atatangazia hapa hapa Jamvini
Hata Goliath alimbeza Daudi hivi hivi lakini mwisho wa siku inajulikana nini kilitokea...Si unajua footbal ni game of chance mkuu.........
nadhani habari zote za Yanga yetu zikiingia hapa itapendeza zaidi maana kuna mithread ya kizungu tu. wadau wa soka la bongo hasa Yanga tupeni raha kuanzia hapa na kuendelea
......Masa zimechanganya pilipili za South Beach na Mzenj ....deep inside him anajua what normally happens kny game......!
yale manyoya urembo tu. kasi ya yanga ndugu kwa hii second half ulimi utawatoka
Kingi tunalo Jukwaa maalum kwa ajili ya Yanga nalo ni hili hapa https://www.jamiiforums.com/sports-...5-young-africans-fc-yanga-special-thread.html
Its good kuwa na Speed kama ya Mnyama otherwise hata nafasi ya pili mwaweza msilambe
Simba Bingwa
[B said:Kingi;777292]nitazitafuta updates za yanga kutoka vyanzo vyote muhimu ili kuleta uhai na changamoto kwa huyu mnyama
Katika kufahamu Kingi
Unaundungu na Kigi Makasi
kwa mtaji huu osama angekuwa na undugu na obama. umeonae