Duh afadhari maana leo lazima wakata miwa walambwe
Tutajie vikosi ndugu yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh afadhari maana leo lazima wakata miwa walambwe
Ambani anaipatia Yanga bao la kwanza
dakika ya ngapi? vp Azam na Prison matokeo yalikuwaje?Ambani anaipatia Yanga bao la kwanza
dakika ya ngapi? vp Azam na Prison matokeo yalikuwaje?
sasa ni dakika ya 75ya mchezo yanga 1 mtibwa 1, mechi ni kali sana wanashambuliana kwa zamu,ball possesion yanga 58 mtibwa 42
Yanga si ndio Chelsea ya bongo?Duh afadhari maana leo lazima wakata miwa walambwe
Wakuu mliishia dakika ya 75, leteni update zaidi
Nimekugongea senksi, ila ingekuwa vyema kama ungeweka na dakika ya mchezo!moja moja
final score 3-1 Yanga taking the three points!!! CongratsNimekugongea senksi, ila ingekuwa vyema kama ungeweka na dakika ya mchezo!
Love it. Signs of true champions!!yanga wamepata bao la pili benko na bao la tatu wamepata sasa hivi Godfrey Boni kupitia kona kwahiyo sasa ni 3-1 Yangai... hongereni watani!!!!😱
yanga wamepata bao la pili benko na bao la tatu wamepata sasa hivi Godfrey Boni kupitia kona kwahiyo sasa ni 3-1 Yangai... hongereni watani!!!!😱
Thanks Mkuu... haya mambo naona kama yanataka kugeuka tena!!! manyema ni watoto wa mujini wale!!!Asante mtani...Kila la heri mechi ya kesho na Manyema(Mkuki wa sumu)
Asafali, maana moyo ulikuwa umehamia kulia, sasa umerudi katika ordinary position. Laha Lohoni!final score 3-1 Yanga taking the three points!!! Congrats