Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mzee Rage uko wapi rudi uifute ile laana ulowapa hawa mnyero united ona sasa laana yako imekolea kwelikweli vijana wanazidi kuwa mbumbumbu ha ha ha
 
Hivi Mzee Rage mlimkosea nini Mbona aliwalaani pakubwa hivi? Ona sasa unavyozidi kuangamia kwa umbumbumbu ulokithiri?
 
Mbumbumbu hawawezagi kung'amua mambo,huyo ni mbumbumbu mwenzake sema kashindwa tu kutambua. Cha ajabu kashindwa hata kubaini mwandiko Wa mwenzake!
 
Mbumbumbu hawawezagi kung'amua mambo,huyo ni mbumbumbu mwenzake sema kashindwa tu kutambua. Cha ajabu kashindwa hata kubaini mwandiko Wa mwenzake!
 
Akaaaa!! Kama ni mshabiki wa Yanga ajiangalie vizuri. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Huenda macho na masikio yake vinaona kinyume. [emoji41][emoji41][emoji41]
Hakunaga mwwnanchi mbumbumbu. Hiyo ni damu yao!
 
Hii Komenti Kama Jamaa Huwa anapitia hapa Nahisi anaweza lazwa ghafla Mkuu wangu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]jamaa anajifanya much know kumbe wenzake wanampumulia kitambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…