Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

KIKOSI cha mabingwa wa kihistoria nchini, Yanga SC leo wali
FB_IMG_1592218883230.jpg
kuwa wageni waalikwa katika bunge la jamhuri ya Muungano Tanzania kuanzia saa 3:00 asubuhi.

Yanga SC wapo mkoani Dodoma kujiwinda na mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya JKT Tanzania, mchezo huo utapigwa siku ya jumatano katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
 
Wamechoka kweli.hali mbaya.
KIKOSI cha mabingwa wa kihistoria nchini, Yanga SC leo waliView attachment 1479317kuwa wageni waalikwa katika bunge la jamhuri ya Muungano Tanzania kuanzia saa 3:00 asubuhi.

Yanga SC wapo mkoani Dodoma kujiwinda na mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya JKT Tanzania, mchezo huo utapigwa siku ya jumatano katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
 
KIKOSI cha mabingwa wa kihistoria nchini, Yanga SC leo waliView attachment 1479317kuwa wageni waalikwa katika bunge la jamhuri ya Muungano Tanzania kuanzia saa 3:00 asubuhi.

Yanga SC wapo mkoani Dodoma kujiwinda na mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya JKT Tanzania, mchezo huo utapigwa siku ya jumatano katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
hii picha ya zaman!...namuona Mwambusi hapo...
 
Back
Top Bottom