Mume halali huyo kwa nini wasimtolee macho? Ha ha ha haMie ujue bado siamini hivi Morison huyu huyu ndio mnamtolea macho namna hiyo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kipindi tunamsajili mlimpa kila jina baya moja wapo eti mwizi. Lol Sasa mwizi na 5imba wapi na wapi?
Duuuu haitakaa isahaulike kamwe!!!Nakumbukaga sana. Unakumbuka tulivyomnyakua yule Mbuyu Twite. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hapa wanatamani wafute hyo post kwenye akaunti ya Sevilla ila haiwezekaniHuko kwenye Page ya Sevilla hiki ndo kilichoandikwa jana kuhusu Timu ya Wananchi.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Mbona ninyi mlivyocheza nao mliishia kuwaomba hadi nguo za ndani hadi wakabaki wanawashangaa tu!?Na ukongwe wote huo bado mnasubiria kupewa vya bure[emoji23]
Kwa ile aibu ya kuwaomba viatu,soksi bukta hadi boxers hakika hawawezi kuwasahau!Sevila wanaijua Simba tu hapa Tanzania[emoji16]
Na pia wakageuka omba omba baada ya mchezo!Hahahaaa. Lazima waijue mana ndio timu waliyoitumia kukomboa goli za kumwaga na kisha kushinda bila presha yeyote.
Na pia wakageuka omba omba baada ya mchezo!
We acha tuu.. Mchana Makande. Usiku tuna enjoyed nayo tena.Asubuhi siku inayofuata tuna hitimisha nayo.. 🤲🤲Ni haramu na kosa la jinai kuyachoka😆😆love our parents love home..Hahahaaa. Umenikumbusha enzi za nyumbani Binamu.
Kwa ile aibu ya kuwaomba viatu,soksi bukta hadi boxers hakika hawawezi kuwasahau!
Ha ha ha ha chocho tu mtani sometimes zinatutoaga hewaniHa ha ha mtani leo umepata Free WiFi unatamba[emoji23]
Kwani Mimi ni Morrison!? Ha ha ha haNa wewe unataka tukuombe[emoji16]
Ha ha ha ha chocho tu mtani sometimes zinatutoaga hewani
Kwani Mimi ni Morrison!? Ha ha ha ha
Ha ha ha ha ngoja nianze kabisa kuwauliza, mnadhani gemu ya Leo mmekosea wapi hadi mmeshindwa kufurukuta kwa Mwadui!? Au ni wazee wengi mlio nao kwenye kikosi chenu?Sasa inabidi uandike comment na za kesho[emoji16]kabla hujaondoka apo kitonga[emoji3]
Mtani wewe unapendelea kuombwa? Mimi kwa kweli hapana mana Mimi si Mungu ha ha ha!Mtani unaogopa kuombwa ha ha ha
Ha ha ha ha ngoja nianze kabisa kuwauliza, mnadhani gemu ya Leo mmekosea wapi hadi mmeshindwa kufurukuta kwa Mwadui!? Au ni wazee wengi mlio nao kwenye kikosi chenu?
Akija huko umbumbuni fc,atapishana na Kagere,Chama na yule mmakonde wakija YangaWanajisumbua bure tu uyo mchezaji wao tegemeo lazima aje avae jez nyekundu halafu anakaa bench[emoji1]
Wakipindisha sheria tunaenda Fifa na tunafufua ile kesi ya kupulizia dawa kwenye vyumba vya kubadilishiaTuone sasa hiyo sheria ikipindishwa kisa mna hela. [emoji41]
Hebu nipishe mie 🚶♀️🚶♀️Ayaa hujui[emoji15]Tulia ni Naibu Spika halafu shabiki wa Simba Sports Club
Nawaaminia Wananchi safari hii tunawageuzia kipigo kile cha kina Jaja mana waliomba Poo Azam kwani tuliwanyuka 3 kavu.Cha asubuhi mpaka jioni, [emoji23][emoji23][emoji23], jioni hautakula maana akina Nicolas Wadada watakuwa washakuchefua tayari [emoji23][emoji23]