Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hahahaaa. Sevilla Baba lao.

Hivi Wawa aliombaga nini vile? [emoji23][emoji23][emoji23] mana kama nakumbuka na yeye alikuwa anabembeleza. [emoji23][emoji23][emoji23]

Na nyie mnaomba nini vile,maana mnavyojipendekeza kwa wazungu wakati hamfanani nao,afadhali sisi tuna mzungu wetu Haji Manara[emoji16]
 
Juma Abdul na tshishimbi ni majeruhi? So far kikosi si kibaya,kuna watu wawili tu hapo ndio siyo wa uhakika japo wanaweza Fanya lolote! Kila la heri jeshi letu la wananchi wa Tanzania!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Molinga, " mimi muchezaji mukubwa, nacheza mutimu mingi mukubwa Afrika.....[emoji23][emoji23] uwanjani anarukaruka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…