Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

huyo mshamkosa, katafuteni mwingine tuje tubebe tena
 
Hili jambo linafikirisha sana. N way kama ni kweli mchezaji alisaini mkataba basi adhabu walompa ni ndogo ilipaswa asimamishwe hata kwa michizo kadhaa kwa malipo ya nusu mshahara na pasipo mlipa bonus yoyote kwa kipindi hicho chote
Linafikirisha mno Mkuu.

Hata na mie nimeliwaza hilo japo wanasema huwa klabu inataratibu na aina za adhabu kwa makosa mbalimbali wanayoyafanya wachezaji.
 
Hili jambo linafikirisha sana. N way kama ni kweli mchezaji alisaini mkataba basi adhabu walompa ni ndogo ilipaswa asimamishwe hata kwa michizo kadhaa kwa malipo ya nusu mshahara na pasipo mlipa bonus yoyote kwa kipindi hicho chote
sasa akikaa nje mnamchezaji gani
 
Kwani wewe haujasikia alichokisema Eng. Hersi Said?
Maneno ya kujilinda tu club nyingine zisisogee hapo, Mchezaji mwenyewe keshasema hajasaini na kaweka wazi nia yake ya kuondoka (let's assume amesaini, anataka ondoka, watu wana terminate tu )
 
Kwa hatua iliyofika hapo, Morrison hataki kucheza Yanga, iwe aliongeza mkataba au hakuongeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…