Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kwa hatua iliyofika hapo, Morrison hataki kucheza Yanga, iwe aliongeza mkataba au hakuongeza
Yes!! Hata na mie nimeliona hilo Mkuu.

Ni vyema akaachwa aje huko kwenu mana naona anazuzua tu watu sababu haiwezekani mtu asaini halafu anahojiwa aseme haja saini ni dhahiri si mkaaji yule .
 
Hapo hamna cha kumzuwia Mtani.

Kikubwa awe mkweli sasa kwamba kile kishika uchumba kimemchanganya .
Hamna pesa, tulieni hivyo hivyo.. msisahau tu kigogo aliwah sema jisiem ni matapeli , na naona hawawaruhusu mkaongea nynyi wenye club yenu wanaongea wao tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…