Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Maneno ya kujilinda tu club nyingine zisisogee hapo, Mchezaji mwenyewe keshasema hajasaini na kaweka wazi nia yake ya kuondoka (let's assume amesaini, anataka ondoka, watu wana terminate tu )
Hapo kwenye termination ndipo Yanga tunapowasubiri ma don kwenye himaya yetu, ila kwa bahati mbaya madon wenyewe wanakula kona ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…