Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
Tumefiwa vip wakati ndoo tumebeba?Eti kafaulo lol.
Kalifanya mkatoka kama mmefiwa pale Taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumefiwa vip wakati ndoo tumebeba?Eti kafaulo lol.
Kalifanya mkatoka kama mmefiwa pale Taifa.
Hahahaaa. Sijui imekuwaje aisee.Duuu wanafamilia wengine wamekataa kuidhinisha fedha za nauli ya ndege nini!?
Huyu atakuja awalaze cha mende muanze kutema mate mje kulialia kama mbwaNinyi aliwapanda wapi?
Hahahaaaa. Lol.Tumefiwa vip wakati ndoo tumebeba?
Sasa yote haya ya nini hadi kujibanza na kujificha nyuma ya semi trailer? Najua lengo lao tusiwaone walivyokuwa mbumbumbu wakajua hatutawaona kwa sababu wamejibanza kwenye migari mikubwa mikubwaHabari zenu tunazo. [emoji3][emoji3][emoji3]
Uelekeo Mtwara. Lol. Mumpelekage shule yule ropo ropo wenu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Angalau awe na kauwezo ka kufikiria na kuona mbali.
Vijana wamechoka kupanda ndenge Wanataka usafili wa busHabari zenu tunazo. [emoji3][emoji3][emoji3]
Uelekeo Mtwara. Lol. Mumpelekage shule yule ropo ropo wenu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Angalau awe na kauwezo ka kufikiria na kuona mbali.
HahahaaaaSasa yote haya ya nini hadi kujibanza na kujificha nyuma ya semi trailer? Najua lengo lao tusiwaone walivyokuwa mbumbumbu wakajua hatutawaona kwa sababu wamejibanza kwenye migari mikubwa mikubwa
Anamaanisha nini huyu!?Huyu atakuja awalaze cha mende muanze kutema mate mje kulialia kama mbwa
Thubutuuuu! Japo ni mbumbumbu hapa watagutuka wataomba usiku na mchana asijeHalafu mgeni rasmi ni...
View attachment 1496535
Huyu nae awepo ili tuwakunyuge vizuri Msipate kisingizio chochote..Halafu mgeni rasmi ni...
View attachment 1496535
Mbona nyie yule mpigwa bomba a.k.a tako moja kawashikilia akili hatusemi?Mwizi wa Magari Anawapanda kichwani anavyotaka..
Mambo mazuri hayataki haraka.kwa kipi cha ziada mlichonacho mkuu
Hahahaha, hivi unajua hata jezi mnazochezea licha ya kua GSM lkn ziko tofauti ? Tazama huko mgongoniViongozi wetu mi huwa siwaelewi weledi wao uko wapi hizi jezi wanavaa wachezaji hazina hata nembo ya klabu?
katika hiki mimi sielewi kabisa yaani wamekumbuka nembo ya gsm wamekumbuka Sportpesa lakini wamesahau nembo ya club
View attachment 1496828
Za kuunga ungaHahahaha, hivi unajua hata jezi mnazochezea licha ya kua GSM lkn ziko tofauti ? Tazama huko mgongoniView attachment 1496887
Sent using Jamii Forums mobile app