Dada Shadeeya mm sina raha kabsaaa nikipita huku mara Tshishimbi hatakuwepo nikija huku Niyonzima na Juma Abdul nao huenda wasiwepo Balama ndio confirmed kabisa kwamba hatakuwepo kuna taarifa zozote njema au ndio ibaki hivyohivyo kiukweli km hao jamaa hawatawepo pale kati imani yangu ndogo sana makame na fey wana utoto mwingi sana itatugharimu!View attachment 1501590KINACHOFUATA NI KUWAHARIBIA SIKU MBUMBUMBU FC WATAFUTANE.
Daah!! Usikose raha mdogo wangu.Dada Shadeeya mm sina raha kabsaaa nikipita huku mara Tshishimbi hatakuwepo nikija huku Niyonzima na Juma Abdul nao huenda wasiwepo Balama ndio confirmed kabisa kwamba hatakuwepo kuna taarifa zozote njema au ndio ibaki hivyohivyo kiukweli km hao jamaa hawatawepo pale kati imani yangu ndogo sana makame na fey wana utoto mwingi sana itatugharimu!
Back to back 10Mtu akiona mnapost hizi picha kwa Mara ya kwanza anaweza akadhani huwa mnashinda na mmebeba ubingwa kihalali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaaaaaaa kumbe Utopolo mnamwogopa Mnyama kiasi hiki hahaaa.Daah!! Usikose raha mdogo wangu.
Mpaka sasa sijapata taarifa bado aisee mana na mie mwenyewe nakuwa na hofu mbaya japo inabidi tu tukubaliane na hali mana ndio kikosi chetu hicho.
Makame huwa simwamini kabisaa kwani anafanyaga rafu za kijinga halafu mara kwa mara.
'Allah yaalam' tusichokitarajia chaweza kutokea hii ni derby wachezaji wa kawaida huja kuwa lulu kwa mechi moja tu kama hii tuwe na subra naamini benchi la ufundi watajua nini cha kufanya in Shaa Allah!Daah!! Usikose raha mdogo wangu.
Mpaka sasa sijapata taarifa bado aisee mana na mie mwenyewe nakuwa na hofu mbaya japo inabidi tu tukubaliane na hali mana ndio kikosi chetu hicho.
Makame huwa simwamini kabisaa kwani anafanyaga rafu za kijinga halafu mara kwa mara.
Sio kuogopa labda km wewe si mtu wa mpira hv kwa mfano pale kwenu aumie chama aumie mkude aumie boco utakuwa na amani? Juzi hp kaumia kapombe tu mishipa ya matako imewasimama mitandao yote ilichafuka tuwekeeni yule haruna shamte sasa ndio utajua maana ya mchezaji tegemeo!Hahahahaaaaaaaa kumbe Utopolo mnamwogopa Mnyama kiasi hiki hahaaa.
Simba nguvu moja
Aaah!! Cha kumuogopea kiko wapi? 😎Hahahahaaaaaaaa kumbe Utopolo mnamwogopa Mnyama kiasi hiki hahaaa.
Simba nguvu moja
Hakika.'Allah yaalam' tusichokitarajia chaweza kutokea hii ni derby wachezaji wa kawaida huja kuwa lulu kwa mechi moja tu kama hii tuwe na subra naamini benchi la ufundi watajua nini cha kufanya in Shaa Allah!
Hili kundi limenitia faraja sana. Balama tu ndo sijamuona
Balama nadhani bado hajawa Ok.Hili kundi limenitia faraja sana. Balama tu ndo sijamuona
Labda kumuua kabisa mana akiwa hai na kuumwa tu bado atawafunga. Last time alicheza na majeruhi na bado akawachetuaIpo njia moja tuu ya kumzuia asiwafunge.
KUMROGA...View attachment 1502756
Daaa tutaenda sawa tuBalama nadhani bado hajawa Ok.