Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Huyu Morrison kama kuuzwa auzwe nje ya nchi, vinginevyo ni kupigwa benchi mpaka arudi kwenye kazi yake ya zamani ya wizi wa magari [emoji1]
Kuna watu wanashauri Morison aachwe. Hivyo ndivyo mbumbumbu wanataka. Kwani wao ndio walimtuma afanye utovu wa nidhamu na kucheza chini ya kiwango ili tuchukie tumuache.
Dawa ni kukomaa nae halafu apigwe Bench muda wote wa mkataba ili mbumbumbu wakimchukua wafaidi
 
Danh hakuna kitu kimeniuma kama ile assist ya Tshishimbi. Si bora angedaka kama Suarez tu tujue moja, makosa binafsi ya wachezaji yametugharimu sana, kweli simba angetufunga lakini sio hizi goli nne, assist ya Tshishimbi, na ile rebound ya Kagere magoli ya kibwege kabisa
Bora ndio iwe imeisha hiyo tu tujipange mwakani kwa usajili mzuri, Namungo ashinde zake Fa akawakilishe nchi, hii kugombea tiketi nafasi ya pili na kuomba simba achukue fa huko tutakula nyingi kuliko hata goli za mkia.

+Daima mbele nyuma mwiko.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]. Hata Simba akishinda FA bado namungo atawakilisha nchi. Nyie kakamilisheni ratiba ya ligi tu, hamna pakwenda.
 
Nawaza tu Mkuu wanaeza muweka benchi kwa Kikosi chetu kile?

Nadhani kumwacha ndo suluhu mana anatuchosha ujue Mkuu.
Hatuna cha kupoteza. Ni bora tushike nafasi ya nne lakini sio kumuendekeza yule muhuni.
Pia tukimuacha mbumbumbu watatuzoea. Na wachezaji wengine wataiga mbinu hiyo. Hakuna kumuacha. Na hakuna Kucheza. Tuone baada ya miaka miwili kama barakoa fc watamtaka tena. Na hakuna mchezaji atakae thubutu kutumia njia hiyo tena.

Kuhusu msimu ujao,tutaimarisha timu yetu. Lakini lazima tutoe funzo
 
Hatuna cha kupoteza. Ni bora tushike nafasi ya nne lakini sio kumuendekeza yule muhuni.
Pia tukimuacha mbumbumbu watatuzoea. Na wachezaji wengine wataiga mbinu hiyo. Hakuna kumuacha. Na hakuna Kucheza. Tuone baada ya miaka miwili kama barakoa fc watamtaka tena. Na hakuna mchezaji atakae thubutu kutumia njia hiyo tena.

Kuhusu msimu ujao,tutaimarisha timu yetu. Lakini lazima tutoe funzo
Alisikika mdau lialia[emoji23] wa uto akilalamika,

JamiiForums-948075912.jpg
 
Morison ni mchezaji wa Ajabu sana mara nyingi huwa nalala nae chumba kimoja.Ila mambo anayoifanya yanaogopesha unaweza ukashtuka usiku ukakuta amekaa anakucheki.
" Said Juma Makapu"
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah
 
Morison ni mchezaji wa Ajabu sana mara nyingi huwa nalala nae chumba kimoja.Ila mambo anayoifanya yanaogopesha unaweza ukashtuka usiku ukakuta amekaa anakucheki.
" Said Juma Makapu"
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah
Nasikia kuna siku jamaa kastuka usiku kamkuta mjamaa unavaa condom[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hatuna cha kupoteza. Ni bora tushike nafasi ya nne lakini sio kumuendekeza yule muhuni.
Pia tukimuacha mbumbumbu watatuzoea. Na wachezaji wengine wataiga mbinu hiyo. Hakuna kumuacha. Na hakuna Kucheza. Tuone baada ya miaka miwili kama barakoa fc watamtaka tena. Na hakuna mchezaji atakae thubutu kutumia njia hiyo tena.

Kuhusu msimu ujao,tutaimarisha timu yetu. Lakini lazima tutoe funzo
mmh unayo jeuri hiyo kulipa usd 4000 mtu yuko benchi
 
Back
Top Bottom