Kuna watu wanashauri Morison aachwe. Hivyo ndivyo mbumbumbu wanataka. Kwani wao ndio walimtuma afanye utovu wa nidhamu na kucheza chini ya kiwango ili tuchukie tumuache.
Dawa ni kukomaa nae halafu apigwe Bench muda wote wa mkataba ili mbumbumbu wakimchukua wafaidi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]. Hata Simba akishinda FA bado namungo atawakilisha nchi. Nyie kakamilisheni ratiba ya ligi tu, hamna pakwenda.Danh hakuna kitu kimeniuma kama ile assist ya Tshishimbi. Si bora angedaka kama Suarez tu tujue moja, makosa binafsi ya wachezaji yametugharimu sana, kweli simba angetufunga lakini sio hizi goli nne, assist ya Tshishimbi, na ile rebound ya Kagere magoli ya kibwege kabisa
Bora ndio iwe imeisha hiyo tu tujipange mwakani kwa usajili mzuri, Namungo ashinde zake Fa akawakilishe nchi, hii kugombea tiketi nafasi ya pili na kuomba simba achukue fa huko tutakula nyingi kuliko hata goli za mkia.
+Daima mbele nyuma mwiko.
Hatuna cha kupoteza. Ni bora tushike nafasi ya nne lakini sio kumuendekeza yule muhuni.Nawaza tu Mkuu wanaeza muweka benchi kwa Kikosi chetu kile?
Nadhani kumwacha ndo suluhu mana anatuchosha ujue Mkuu.
Alisikika mdau lialia[emoji23] wa uto akilalamika,Hatuna cha kupoteza. Ni bora tushike nafasi ya nne lakini sio kumuendekeza yule muhuni.
Pia tukimuacha mbumbumbu watatuzoea. Na wachezaji wengine wataiga mbinu hiyo. Hakuna kumuacha. Na hakuna Kucheza. Tuone baada ya miaka miwili kama barakoa fc watamtaka tena. Na hakuna mchezaji atakae thubutu kutumia njia hiyo tena.
Kuhusu msimu ujao,tutaimarisha timu yetu. Lakini lazima tutoe funzo
Nasikia kuna siku jamaa kastuka usiku kamkuta mjamaa unavaa condom[emoji23][emoji23][emoji23]Morison ni mchezaji wa Ajabu sana mara nyingi huwa nalala nae chumba kimoja.Ila mambo anayoifanya yanaogopesha unaweza ukashtuka usiku ukakuta amekaa anakucheki.
" Said Juma Makapu"
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah
😅😅😅😅😅😅Mkuu unamaanisha jamaa anafukua tope wachezaji wenzake.Nasikia kuna siku jamaa kastuka usiku kamkuta mjamaa unavaa condom[emoji23][emoji23][emoji23]
mmh unayo jeuri hiyo kulipa usd 4000 mtu yuko benchiHatuna cha kupoteza. Ni bora tushike nafasi ya nne lakini sio kumuendekeza yule muhuni.
Pia tukimuacha mbumbumbu watatuzoea. Na wachezaji wengine wataiga mbinu hiyo. Hakuna kumuacha. Na hakuna Kucheza. Tuone baada ya miaka miwili kama barakoa fc watamtaka tena. Na hakuna mchezaji atakae thubutu kutumia njia hiyo tena.
Kuhusu msimu ujao,tutaimarisha timu yetu. Lakini lazima tutoe funzo
Hahahaa waape salaaaaam.Maiti ilipiga chafya mkuu!