Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Hivi Mtani na wewe unaamini sisi ni manyani? [emoji41]
Sisi wazungu tunajua Yanga ni manyani[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Mtani na wewe unaamini sisi ni manyani? [emoji41]
Hili swali nilitaka kumuuliza mtu mmoja humu nikasahau. TFF wamechukua hatua kwa kauli za kibaguzi kama hizo za Eimael, lakini mwingine ambaye naye alijumuishwa na yule Mzungu kuitwa Nyani naye anaita wenzie Nyani!Hivi Mtani na wewe unaamini sisi ni manyani? [emoji41]
Heee!!!Sisi wazungu tunajua Yanga ni manyani[emoji16]
Ni uelewa tu kuwa mdogo katika baadhi ya mambo na kuchukulia ushabiki kama sehemu ya uadui.Hili swali nilitaka kumuuliza mtu mmoja humu nikasahau. TFF wamechukua hatua kwa kauli za kibaguzi kama hizo za Eimael, lakini mwingine ambaye naye alijumuishwa na yule Mzungu kuitwa Nyani naye anaita wenzie Nyani!
Tatizo huyo ni mbumbumbu. Kuelewa ni ngumuHili swali nilitaka kumuuliza mtu mmoja humu nikasahau. TFF wamechukua hatua kwa kauli za kibaguzi kama hizo za Eimael, lakini mwingine ambaye naye alijumuishwa na yule Mzungu kuitwa Nyani naye anaita wenzie Nyani!
Alisema mashabiki wa Yanga aka Utopolo wanaropoka tu ka manyani na kupiga kelele ka mbwa, usitake kujificha kwenye kivuli cha TFF, kwani hamropoki tu ka manyani?Hili swali nilitaka kumuuliza mtu mmoja humu nikasahau. TFF wamechukua hatua kwa kauli za kibaguzi kama hizo za Eimael, lakini mwingine ambaye naye alijumuishwa na yule Mzungu kuitwa Nyani naye anaita wenzie Nyani!
Luc kuwaambia mnaropoka tu ka manyani hakukosea,Kwani huwa hambebwi?
Kwa hiyo umekosa kazi unamquote nyani? 🤔🤔🤔Luc kuwaambia mnaropoka tu ka manyani hakukosea,
Manyani fc kwenye ubora wenu
Kwa hiyo unaumiia tukiropoka?Alisema mashabiki wa Yanga aka Utopolo wanaropoka tu ka manyani na kupiga kelele ka mbwa, usitake kujificha kwenye kivuli cha TFF, kwani hamropoki tu ka manyani?
Manyani fc kwenye ubora wenu
By the way wewe kuwaita wenzio mikia unawaona wana mkia hata kama ni mfupi kama wa sungura ?Kwani ukiacha usimba na uyanga mimi na wewe tuna tofauti gani?, mtu akisimama mbele yako utaweza kujua huyu ni simba au ni yanga bila yeye mwenyewe kukuambia?
Huyu jamaa huwa hafuatilii vyombo vya habari ?Yuko mjini, kafichwa ,Kazi ipoView attachment 1527503View attachment 1527504
Acha dawa iwaingie vizri, mnafikiri nyie kuwaita wenzenu mikia ni maneno mazuri...Kwa hiyo unaumiia tukiropoka?
Kutwa kwenye uzi wa manyani nini kinawaleta kama na nyie sio manyani.
#Kwendenizenunihukoo. Mmmxxxiiiewwww.
Hakuna wa dawa kumuingia hapa.Acha dawa iwaingie vizri, mnafikiri nyie kuwaita wenzenu mikia ni maneno mazuri...
Manyani fc kwenye ubora wenu
Mbona hata havihusiani Mtani? Mkia na Nyani? 😳By the way wewe kuwaita wenzio mikia unawaona wana mkia hata kama ni mfupi kama wa sungura ?
Mkia inaitwa timu ya simba sio mashabiki wa simba kua ndio mikia, see the difference .. Yanga hua mnaiita vyura umesikia tunalalamika,,By the way wewe kuwaita wenzio mikia unawaona wana mkia hata kama ni mfupi kama wa sungura ?
Hajanijibu.. Ajabu ni kama unavyosema they call us nyani lakini kutwa kucha wapo kwenye hii thread ya manyani, kama wao pia sio manyani wanatafuta nini huku.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi alikujibu hapa. [emoji23][emoji23][emoji23]