Nyani kawaita kocha wenu lawama mnatutupia sisi [emoji3][emoji3][emoji3]Mbona hata havihusiani Mtani? Mkia na Nyani? [emoji15]
Niseme tu hoja yenu haina mashiko hata kidogo. Ila inabidi kuwazowea tu na kuamini ile kauli ya Rage dhidi yenu. [emoji41]
Kocha wenu kawaongezea majina mengine mnataka sisi tufanyaje ?Mkia inaitwa timu ya simba sio mashabiki wa simba kua ndio mikia, see the difference .. Yanga hua mnaiita vyura umesikia tunalalamika,,
Kuna tofauti kubwa sana kusema yanga ni nyani au mashabiki wa yanga ni nyani.
Ndio unyani wenyewe nao huo yaani bila kukusanyika na manyani wenzao hawaoni raha. 😂😂😂😂😂Hajanijibu.. Ajabu ni kama unavyosema they call us nyani lakini kutwa kucha wapo kwenye hii thread ya manyani, kama wao pia sio manyani wanatafuta nini huku.
Ooooh.Nyani kawaita kocha wenu lawama mnatutupia sisi [emoji3][emoji3][emoji3]
Inahitaji tuanzishe Darasa la kuwaelewesha huenda wakaelewa.Mkia inaitwa timu ya simba sio mashabiki wa simba kua ndio mikia, see the difference .. Yanga hua mnaiita vyura umesikia tunalalamika,,
Kuna tofauti kubwa sana kusema yanga ni nyani au mashabiki wa yanga ni nyani.
Mtuite tu Mtani.Kocha wenu kawaongezea majina mengine mnataka sisi tufanyaje ?
Kwa hiyo nyie ni wapambe wa Luc Eymael a.k.a vibaraka,, basi msiishie tu ku msupport kwa maneno, masaidieni na kulipa faini yakeKocha wenu kawaongezea majina mengine mnataka sisi tufanyaje ?
Sisi tunaita jina aliwabatiza kocha wenuKwa hiyo nyie ni wapambe wa Luc Eymael a.k.a vibaraka,, basi msiishie tu ku msupport kwa maneno, masaidieni na kulipa faini yake
Hamna namna lazima muitike tu maana kocha wenu mliyempamba kwa kila rangi ile tarehe 8 March kawapeni majina mapyaMtuite tu Mtani.
Hahahaaa. Watakuwa Vibaraka hawa Watani zetu.Kwa hiyo nyie ni wapambe wa Luc Eymael a.k.a vibaraka,, basi msiishie tu ku msupport kwa maneno, masaidieni na kulipa faini yake
Kwa kipaji chako cha kuongea na nyani, itabidi upelekwe makubusho ya taifa [emoji41]Sisi tunaita jina aliwabatiza kocha wenu
Nyie tuiteni lakini wa kuitikia hata hayupo.Hamna namna lazima muitike tu maana kocha wenu mliyempamba kwa kila rangi ile tarehe 8 March kawapeni majina mapya
Hahaaaa.Kwa kipaji chako cha kuongea na nyani, itabidi upelekwe makubusho ya taifa [emoji41]
Anyway .. Tukutane OT
Sawa twendeni tu tutafika Mtani.Hamna namna lazima muitike tu maana kocha wenu mliyempamba kwa kila rangi ile tarehe 8 March kawapeni majina mapya
Ndio hapo watajua kua hawajui, wakati wana ndugu zao wa karibu ambao ni fans wa Yanga.Hahahaaa. Watakuwa Vibaraka hawa Watani zetu.
Na si ajabu akijua wanamsapoti nao akawaita manyani pia. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ule uzi wetu ni kama nyavu za kuvulia dagaa wale Adidas sijui wanatuonajeKwa kipaji chako cha kuongea na nyani, itabidi upelekwe makubusho ya taifa [emoji41]
Anyway .. Tukutane OT
HahahahaHuyu jamaa huwa hafuatilii vyombo vya habari ?
Unawezaje kusajiliwa na club ambayo haiwezi kulipa mshahara hata wa mwezi mmoja tu ???
Au naye kaja kupapa kama Zahera ?
Ni uelewa tu kuwa mdogo katika baadhi ya mambo na kuchukulia ushabiki kama sehemu ya uadui.
Yaani mtu anachambua sentensi moja na kuibeba nzima nzima na kusahau kuzichambua na kuzielewa sentensi zote.
HahahahaLeo nyie mmeshikwa pabaya, ndo mnajua ubaya wa kuchukua sentensi moja tu.
Hivi nyie mlivyotuita Mbumbumbu FC kipindi cha Rage mnadhani tulifurahi?