Huyo Manara alishalifikiria hilo akawapa makavu nadhani aliwaza mbali kwa kuona wapo watu wakaribu ambao haezi kubali waitwe manyani.Ndio hapo watajua kua hawajui, wakati wana ndugu zao wa karibu ambao ni fans wa Yanga.
Mfano mtu kama Manara, baba yake ni fan wa Yanga, mtoto wake ni fan wa Yanga,, simjafuatilia kama nae yupo upande wa Luc ama vp, ila kwa hawa wanao msupport humu naamini lzm ndugu zao wa karibu tu wapo Yanga, sijui wanajisikiaje kuwasaliti ndugu zao na kua vibaraka wa Luc
Hamna kushikana pabaya wala nini Mtani.Leo nyie mmeshikwa pabaya, ndo mnajua ubaya wa kuchukua sentensi moja tu.
Hivi nyie mlivyotuita Mbumbumbu FC kipindi cha Rage mnadhani tulifurahi?
Hamna kushikana pabaya wala nini Mtani.
Hivi mbona na nyie mna majina kibao mnatuita tuliwahi waka Mtani na mengine mpaka mnataka yaekwe kwenye kamusi au sio nyie Mtani?
Shikalo
Yassin Mustafa, Lamine Moro, Mwamnyeto, (Juma Abdul)
Sureboy, Feitoto
Niyonzima
Chilunda, ( ), Nchimbi
Subs: Zawadi Mauya, Mapinduzi Balama, Juniour, Metacha, ( )
Hapo bado kuna wachezaji 5 kutoka nje
Yanga [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
kama tunabebwa basi nyie hua mnanyakuliwa kabisa ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani huwa hambebwi?
Woh woh wohMbona hata havihusiani Mtani? Mkia na Nyani? [emoji15]
Niseme tu hoja yenu haina mashiko hata kidogo. Ila inabidi kuwazowea tu na kuamini ile kauli ya Rage dhidi yenu. [emoji41]
Dah aiseeeh wewe jamaa unapata tabu, kule Nyumbu huku Nyani[emoji23][emoji23][emoji23] hivi hapo ulipo upo Mikumi au Serengeti???Shikalo
Yassin Mustafa, Lamine Moro, Mwamnyeto, (Juma Abdul)
Sureboy, Feitoto
Niyonzima
Chilunda, ( ), Nchimbi
Subs: Zawadi Mauya, Mapinduzi Balama, Juniour, Metacha, ( )
Hapo bado kuna wachezaji 5 kutoka nje
Yanga [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kwa hiyo unaumiia tukiropoka?
Kutwa kwenye uzi wa manyani nini kinawaleta kama na nyie sio manyani.
#Kwendenizenunihukoo. Mmmxxxiiiewwww.
Nyie tuiteni lakini wa kuitikia hata hayupo.
Ndio hapo watajua kua hawajui, wakati wana ndugu zao wa karibu ambao ni fans wa Yanga.
Mfano mtu kama Manara, baba yake ni fan wa Yanga, mtoto wake ni fan wa Yanga,, simjafuatilia kama nae yupo upande wa Luc ama vp, ila kwa hawa wanao msupport humu naamini lzm ndugu zao wa karibu tu wapo Yanga, sijui wanajisikiaje kuwasaliti ndugu zao na kua vibaraka wa Luc
Leo nyie mmeshikwa pabaya, ndo mnajua ubaya wa kuchukua sentensi moja tu.
Hivi nyie mlivyotuita Mbumbumbu FC kipindi cha Rage mnadhani tulifurahi?
Mkuu una undugu na Tarzan nini?,, mpaka unao uwezo wa kuongea na manyaniNyani mdogo pole sana[emoji23][emoji23][emoji23]
πππππkama tunabebwa basi nyie hua mnanyakuliwa kabisa ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππππMkuu una undugu na Tarzan nini?,, mpaka unao uwezo wa kuongea na manyani
[emoji125][emoji125][emoji125] Pia bila kuja kwenye uzi wa manyani kuwafanyia fujo .. Hamuoni faha, kama vipi ombeni uraia, nafasi bado zipo.
Mtani mijicho hiyo veeeepppeeee? π[emoji15]
Tumeshawachukulia ndo mapungufu yenu hayo Mtani hivyo Mtajua wenyewe sisi tunaendelea na mengine.Tutakuwa tunawaita kimoyo moyo ili msiumie sana[emoji23][emoji23][emoji23]