Lusajo ndiyo wa Tz, huyo Blaise sijui wa wapi, ila wote hawana mentality na viwango vya kucheza timu kama yanga na simba
Blaise wa kawaida na wakimsajili yanga uje ufukue huu uzi uhakiki nlichosema.
hapo tupo pamoja.Umenielewa nilichosema Mkuu hapo juu?
Nimesema angekuwa wa ndani kwa kiwango chake nisingeona shida sana yeye kusajiliwa, kwa mtazamo wangu ndio level hizo hizo za akina Waziri Juniour na Nchimbi.
Lakini kwa mchezaji international hatupaswi kusajili kiwango kama hicho, inabidi tusajili strikers wa maana
Jina lingine, ambalo ni la kibiashara huitwa "Signing Bonus" (kwa ajili ya mambo ya kodi).Mnaojua kuhusu hiyo Signing fee imekaaje eti kwa wachezaji wasainiwa wapya na wale wenyeji? 🤔🤔🤔
Mmeingizwa chaka. Saa saba mchana imeshapita.yanga acheni UTAPELI.
kughushi saini ya morri si sawa HAIKUBALIKI
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Mmeingizwa chaka. Saa saba mchana imeshapita.
Mtangazeni basi. Mwishowe nyie waswahili wa Simba na Azam mtachokwa. Mnawapiga sana hela wamanga na wahindi wenu.
Ndiyo maana nikakuambia mmeingizwa chaka.Hayo maneno anasema morrison mwenyewe
Kuwa GSM WAMEGHUSHI SAINI YAKE..
waambieni GSM waache utapeli
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana nikakuambia mmeingizwa chaka.
SubiriSasa walioingizwa chaka ni akina nani?.
kati yetu na nyie?.
Viongozi wenu wanasema wamemsainisha morrison mkataba wa miaka 2.
Mchezaji mwenyewe anasema amesaini miezi 6.
sasa HAPO MUONGO nani?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
wewe usichafue brand za watu, una hela za kuilipa GSM wakikushitaki?Hayo maneno anasema morrison mwenyewe
Kuwa GSM WAMEGHUSHI SAINI YAKE..
waambieni GSM waache utapeli
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
wewe usichafue brand za watu, una hela za kuilipa GSM wakikushitaki?
wewe taniana na watani wako yanga mambo ya GSM achana nayo utapotezwa.
kasome (Tanzania trade and service mark act ) uje ubwabwaje mavi ya kuku yako hapaEbu wanishitaki NIONE.
waache kumshtaki morrison anayesema kasajiliwa miezi sita na wao wanasema wamemsajili kwa miaka 2..
wewe unadhani KUMSHTAKI MTU NI KAZI NDOGO?.[emoji16][emoji16][emoji16].
umenifurahisha sanaa..
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]yanga acheni UTAPELI.
kughushi saini ya morri si sawa HAIKUBALIKI
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
kasome (Tanzania trade and service mark act ) uje ubwabwaje mavi ya kuku yako hapa
Duh ... kisa Morrison?Kasome wewe kwanza.
Alafu niletee samans uniambie tukutane mahakama gani.kenge wewe..
Muwe mnaangalia na watu wa kuwatishia mahakamani
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Duh ... kisa Morrison?
Oooh!! Nimeielewa sasa.Jina lingine, ambalo ni la kibiashara huitwa "Signing Bonus" (kwa ajili ya mambo ya kodi).
Hii ni bonus inayotolewa ili kumvutia mchezaji. Bonus hutolewa na club kama zawadi tofauti na mshahara wa mchezaji ambao nao una kodi zake.
Wachezaji wengi hupenda signing bonus/fee kubwa kwa sababu huwa inatolewa bila kodi kama zawadi na mara nyingi huwa siri kati ya mchezaji na Club. Siyo kitu cha lazima kama mshahara na mara nyingi inakuwa kazi kushtaki kama ukiambiwa tutakumalizia mbele ya safari.
Club inaweza kuamua isikupe signing fee/bonus, kama ikiona haina haja ya kukuvutia au kama wakiona haupo kivile, unaweza kusepa kama hutaki.
Pia anaweza kutokea mwanachama akakupa bonus, Club ikakupa mshahara, yote inategemea na uhitajikaji wako.