Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Zamalek wanafanya mabadiliko tena..........
Hizi sub zao zina lengo la kubadili mchezo......
Hizi sub zao zina lengo la kubadili mchezo......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka halftime ilikuwa bila bila.Jamani amtokeo ya Kigali yakoje?.........Mbona kimya?
Ni uzembe wa mabeki....Akili yao ilikuwa kwenye sub badala ya kuwakaba wachezaji wa Zamalek.......Zamalek wameutumia uzubaifu wa mabeki wetu............Amri Zaki balaa.