Pia inabidi wajiulize katika ile list ya wachezaji tunaowaacha kulikuwa na ugumu gani Morison kuwekwa au wale ambao mkataba wao umeisha sababu ukiangalia ametufanyia vituko vya hovyo ambavyo kama mkataba usingekuwepo basi tungemuachilia mbali.
#Hafaiyulejamaa.
Hebu tuache!! kushuka daraja hiyo kwiiio?Na ligi msimu huu itawahi kuanza wawe makini wasishuke daraja tukakosa wa kumtania
Kwenye list ya wachezaj 17 waliokua wamebak imepungua hadi 14.. yani hadi juma Abdul mmemuacha?? punguzen jeuri mtani, mtapoteanaAaah!! Washanichosha hawa.
Ngoja niyaangalie tu sasa kama naye hana huo mkataba asepe pia. Tutafanyaje sasa.
Yaani tumekuwa mabwege kweli.Hata Luis Mick pia, nyinyi ndio mlituonyesha.. tunawashukuru kwa haya
ila Ntani, walai tutawapiga, tutawapiga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], tutawabonda haswa
Na wewe ulisikia eee? Ndo iko hivyo aliongea yule wa TFF siku ile.yuko sahihi
Aiseee!! Ninavyoona wapo kunufaika tu kwa mgongo wa Yanga na si kingine.Umekumbukaee ?? hao jamaa sio wa kuwaamini, ..niliwasikilizaga mara mbili nikaja hapa nikasema GSM sio wa kuwaamini sana , muwe nao makini
La Papy Kabamba halijaisha wakati mlipewa hadi video, la Ben hili hapa tena
na ndo maana nasema GSM WANA MATATIZO.
ili jambo sasa hivi Lina miezi kadhaa.
Kama wangekuwa wao ndo wa kweli basi wangeshatoa hyo mikataba hadharani.
Makaratasi yapo. GSM atoe yake na Morrison atoe yake.hapo tutaona ni miezi 6 au miaka 2.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Luis Chama BenYaani tumekuwa mabwege kweli.
Hii yote ni furaha leo unaniita kisambaa eti Ntani. [emoji3]
Changia timu iweze kusajili! Toa angalau hata TZS 1.0 Bil.Umekumbukaee ?? hao jamaa sio wa kuwaamini, ..niliwasikilizaga mara mbili nikaja hapa nikasema GSM sio wa kuwaamini sana , muwe nao makini
La Papy Kabamba halijaisha wakati mlipewa hadi video, la Ben hili hapa tena
Kiukweli Simba nao sidhani kama ni wajinga bana kumuonyesha dhahiri na vyombo vya habari vyote vikubwa kutangaza pasi wasi wasi.Mkuu una uhakika, mikia hawajatapeliwa?
Kwanini mnamwamini yule mwizi wa magari na mropokaji wao kuliko GSM
GSM ameshafanya mambo mengi sana kiasi cha kwamba unapaswa umpe hata "benefit of doupt"
Muda ndio utasema kuhusu hili suala, kuwa mvumilivu
Tunaendelea kusajili
Pesa waliyokua wanatumia Kwenye marketing mabango kila mahali wamehamishia kwenu, wanawatumia nyinyi, hukuti bango lao barabaran saiv, miaka yao mitatu ikiisha wanaachana na nyie wanarudi kuweka mabango upyaAiseee!! Ninavyoona wapo kunufaika tu kwa mgongo wa Yanga na si kingine.
Ina maana mnajisahaulisha kama hili suala limeshakuwa kesi na lipo TFF.
TFF ndio wamechelewa kulishughulikia, na GSM unawalaumu kwa lipi hapo?
TFF yao hao Mikia hivyo si ajabu hilo swala likashughulikiwa hata mwaka mzima huku Morison anadunda Simba.Ina maana mnajisahaulisha kama hili suala limeshakuwa kesi na lipo TFF.
TFF ndio wamechelewa kulishughulikia, na GSM unawalaumu kwa lipi hapo?
kuna uwezekano mkubwa tu huo mkataba wenyewe haupo, huu muda uliopotea watu walikua waki buy time warekebishe mambo ikashindikaIna maana mnajisahaulisha kama hili suala limeshakuwa kesi na lipo TFF.
TFF ndio wamechelewa kulishughulikia, na GSM unawalaumu kwa lipi hapo?
Tunasubiri tuone wanapotupeleka kwani maamuzi yote haya wanayafanya pasi sisi mashabiki kuhusika hata kidogo.Kwenye list ya wachezaj 17 waliokua wamebak imepungua hadi 14.. yani hadi juma Abdul mmemuacha?? punguzen jeuri mtani, mtapoteana
Msitutishe. 😎Luis Chama Ben
huo utatu ni kisanga na nusu, safari hii hata mloge, mtakufa tu
tangu ili sakata la morrison na GSM lianze huu mwezi wa ngapi?.
TFF unataka washughulikie nini wakati mchezaji kasaini miezi 6?..
Uzembe ni wa viongozi wa yanga na GSM.
Walitakiwa wapige STOP hizi choko choko kwa kutoa mkataba wao wa miaka 2 na Morrison..
Kwanini mkataba wana ficha?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Ngasa na Kev umri umesogea ila uwezo wao uwanjan tumeuona, haikua wachezaj wa kuachwa tu hv hv , kimsingi hakuna sababu ya kuwaachaTunasubiri tuone wanapotupeleka kwani maamuzi yote haya wanayafanya pasi sisi mashabiki kuhusika hata kidogo.