mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
We jamaa bhana, unachekesha sana
Eti walitakiwa watoe mkataba wao wa miaka 2
Sasa wautoe huo mkataba wapi, kwa nani?
Nimekwambia hilo shitaka lipo TFF na nyaraka zote ikiwemo mkataba kama ushahidi zipo huko
Morrison amesajiliwa kwenye mfumo wa TFF na FIFA kama mchezaji wa Yanga
Wewe unataka wakuketee mkataba nyumbani kwako? Mkataba upo kwenye mamlaka husika, na hiyo mamlaka ndio inachelewa kutoa hukumu/majibu
kuna uwezekano mkubwa tu huo mkataba wenyewe haupo, huu muda uliopotea watu walikua waki buy time warekebishe mambo ikashindika
kwasababu kama mkataba wanao TFF kama walivyosema, si swala la TFF kuutoa tu chap case imeisha
GSM hawana mkataba wa miaka 2 na Morrison HUO NDO UKWELI. KAMA WANAO WAUTOE..
na waseme walimlipa sh ngapi.
Vinginevyo IMETOKA HYO.
MCHEZAJI TAYARI YUPO SIMBA.sisi hatuongei mengi
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Aaah!! Yaliyopita si ndwele bana.Ngasa na Kev umri umesogea ila uwezo wao uwanjan tumeuona, haikua wachezaj wa kuachwa tu hv hv , kimsingi hakuna sababu ya kuwaacha
Juma ndio kabisa, huku Akija Msimbazi anaingia kikos cha kwanza moja kwa moja
juma anakuja kuwa backup ya kapombeAaah!! Yaliyopita si ndwele bana.
Sawa Morrison
Muda utasema ila wanatupa masononeko sana aiseee.Unaweza kuamini unachotaka kuamini, mfano wewe unasema kuna uwezekano huo mkataba haupo... Naona unachoongelea ni possibilities tu, kwamba inawezekana.... Inawezekana kibao
Yanga wakishasema huo mkataba upo na umesajiliwa kwenye mamlaka za soka nchini na duniani
Ndio maana nikasema muda ndio utasema
Hivi watanzania hatujisikii aibu???
Duuh!!! Sasa Kipi ni kipi? 🤔🤔🤔
Unakumbuka mlivyoondoka na Kelvin sio?? [emoji38][emoji38][emoji38], it's your turnDuuh!!! Sasa Kipi ni kipi? [emoji848][emoji848][emoji848]
Ila wacha niendelee kuona hizi sarakasi.
Aah!! Yanga ipo since 1935 hivyo aende tu.
Na hii nadhani wameshaona tunavyowanyea huko mitandaoni ndio wanatufariji japo hata hii barua yao bado hainipi matumaini ya kutokuamini kilichofanyika.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].waambieni watoe mkataba wa morrison ALIOSAINI MIAKA 2..
hawa viongozi wenu wamewafanya misukule.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Aaah!! Aende tu kwanza tulishamtowa akilini tangia ile mechi ya tarehe 12 kwa ule upuuzi ambao alifanya pale Taifa.Unakumbuka mlivyoondoka na Kelvin sio?? [emoji38][emoji38][emoji38], it's your turn
either way, huyu mchezaj hamumpati tena
Haya ndo umeandika nini eti?
Aiseee.Ndo ivo tena Morrison is Red
Hao ni mamluki tu, kaangali insta ya Tshishimbi nae anavyoshangilia. Hapo hamna cha maana.Na hii nadhani wameshaona tunavyowanyea huko mitandaoni japo hata hii barua yao bado hainipi matumaini ya kutokuamini kilichofanyika.
Haiwezekani mchezaji awe wetu halafu asajiliwe na kutambulishwa bila wasiwasi namna ile.
Lazima kipo ambacho Simba anajivunia kama sio TFF basi ni huyo mchezaji aliyesaini.