Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

dah! mkuu mimi mwenyewe najiuliza maswali kama yako.
Mwisho wa siku naanza kuelewa kwanini miaka nenda rudi soka letu halikui tunabakia kwenye nafasi za 130+.

Hatuna viongozi wenye mapenzi na maendeleo ya soka letu.
 
Mimi nimesema

Mbwa jike anayetoa ute nyuma, hutumia mbinu nyingi kuvutia madume

Nimesema mimi

Ila legendary Rage alisema simba ni mbumbumbu (huyu ni aliyekuwa mwenyekiti wa simba mbumbumbu na kwa sasa mwanachama wao)
Na kocha wenu alieondoka akasema nyie ni manyani, mnabweka kama umbwa, hamuelew chochote kuhusu mpira [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unasemaje da po [emoji3]
Na kocha wenu alieondoka akasema nyie ni manyani, mnabweka kama umbwa, hamuelew chochote kuhusu mpira [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mikia wamejibebea jambazi na mwizi wa magari. Ngoja aje apite na lile rover la mo apotelee kusiko julikana
 
Uzinduzi wa tawi jipya la Yanga la Kijiwe Samli, Kiwalani Afisa Mhamasishaji wa Yanga Antonio Nugaz na Mwenyekiti wa Kamati ya Matawi na Wanachama, Saed Khimji wametoa wito kwa wanaYanga kusajili rasmi makundi yao kama matawi yanayotambulika na Uongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…