Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kiongozi mimi Ni Simba..Senzo Ni mtu makini nakwambia Kama alikuwa hana kazi Kama unvyosema tungemfukuza kitambo Sana..mbona alitimuliwa uchebe..
Binafsi sijapenda kuondoka kwake..Kama wewe umefurahi Ni sawa kwako..
Lakini kuondoka kwakwe Tena kwenda Yanga Ni ujinga mkubwa na ushenzy viongozi wa Simba wamefanya..
Huu Ni mwanzo ujinga mwingi unakuja..endelea kuwatetea..Kuna siku si nyingi utakumbuka haya maneno
Hey mpendwa! Kwaiyo kama mtu hataki tena kuwepo hapo keshapewa dau linalotokana na maumivu ya upande wa pili baada ya wao kukomolewa utawalaumu viongozi??

Mtu akifanya maamuzi yake utamlazimisha?? Wapo Watu makini watapatikana acheni kulaumu uongozi jamani SIMBA ipo na itakuwepo bila senzo!! Kafanya maamuzi yakuhamia yanga nihakiyake acha aende
 
Kuna vitu vingi simba vipo ndo maana senzo alionekana wa maana.
Maana mfumo ulikuwa unambeba.
Hapo yanga bado wenyewe wana mfumo wa kuchagua mwenyekiti wao kwa kura ni wazi msola atabaki kuwa ndie mwenye maamuzi.
Msola hawezi kuwa chini ya senzo na senzo hawezi kukubali kuwa chini ya msola...
Kiongozi mimi Ni Simba..Senzo Ni mtu makini nakwambia Kama alikuwa hana kazi Kama unvyosema tungemfukuza kitambo Sana..mbona alitimuliwa uchebe..
Binafsi sijapenda kuondoka kwake..Kama wewe umefurahi Ni sawa kwako..
Lakini kuondoka kwakwe Tena kwenda Yanga Ni ujinga mkubwa na ushenzy viongozi wa Simba wamefanya..
Huu Ni mwanzo ujinga mwingi unakuja..endelea kuwatetea..Kuna siku si nyingi utakumbuka haya maneno

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Anaenda kuwa na cheo gani huyu pale yanga??
Nimekwambia kuna kazi maalum ametumwa na Simba, ukasema si rahisi kihivyo. Jiulize ule uwanja wa Kigamboni umetolewa katika mazingira gani...
 
Nimeitoa full Mkuu waone vizuri. [emoji1787]
Huyu ni chama mwenyewe.. hizo story ntan sahau kabisa, hata akiwa free huyu mtomuweza, anafukia 170mil huyu kwa msimu
Screenshot_20200809-174414.jpg
 
Kiongozi mimi Ni Simba..Senzo Ni mtu makini nakwambia Kama alikuwa hana kazi Kama unvyosema tungemfukuza kitambo Sana..mbona alitimuliwa uchebe..
Binafsi sijapenda kuondoka kwake..Kama wewe umefurahi Ni sawa kwako..
Lakini kuondoka kwakwe Tena kwenda Yanga Ni ujinga mkubwa na ushenzy viongozi wa Simba wamefanya..
Huu Ni mwanzo ujinga mwingi unakuja..endelea kuwatetea..Kuna siku si nyingi utakumbuka haya maneno
Hata Magori wakati anaondoka hatukupenda, pengo la CEO linazibika kiwepesi, aliwakimbia Orlando itakua sisi bana, issue ni kupoteza Mchezaji..hapo ndipo patamu
 
Back
Top Bottom