Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Umeongea kwa uchungu sana [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]

Mpaka hapa nilipo machozi yamenilenga na mimi [emoji28]
Morrison ni mchezaji, Senzo ni mtendaji. Usajili unaofanyika ni wa wachezaji, watakaoingia kwenye pitch ni wachezaji. Mtendaji anaajiriwa muda wowote hata mwisho wa msimu, na wala haingii dimbani kucheza. Unaona Simba wanatafuta Kaimu Mtendaji, sasa je Yanga watatafuta Kaimu Morrison?
 
Yanga hongereni sana Watani wangu,
Hakika mmefanya jambo kubwa sana kumchukua Senzo,, hili ni pigo kubwa sana kwetu,, mmetufunga mdomo na kiukweli tumepoa,,

japo kuna baadhi ya watu watanipinga ila kiukweli mmetuvuruga vchwa vinawaka moto,, nabaki na maswali mengi sana,, nn kimepelekea hiki? kama kudai bonus kwa Senzo ni dhambi! nn sasa motisha yake?

Mpeni nafasi Senzo hakika mtafaidika sana,, ni mtu mwenye CV kubwa Africa kulingana na Uweledi wake.

naskia pia mnamnyakua Chama, dah[emoji848],

'Jamani kupenda mpira sana ni hatari kwa afya yako'

nlivoona tu Mwina Kaduguda amewekwa simba nikapata hofu sana dah!

sina hamu na ushabiki huu ni uzwazwa jaman,
 
NAWAKUMBUSHA TU MPAKA SASA GOLI NI MOJA KWA MOJA. 🤣🤣🤣

MCHEZO BADO UNAENDELEA. TEH TEH.
 
Mfano huu ni very irrelevant

Ungesema kwamba simba wanaweza kumpata Kaimu Senzo [emoji23], lakini Yanga haiwezi kumpata Kaimu Morrison (kwa mujibu wa mfano wako)

Huu ni msimu wa usajili, hata Yanga inaweza kupata mchezaji mbadala wa Morrison. Hata hivyo Morrison hamjamchukua kwahiyo this should be dumped here [emoji706]
Morrison ni mchezaji, Senzo ni mtendaji. Usajili unaofanyika ni wa wachezaji, watakaoingia kwenye pitch ni wachezaji. Mtendaji anaajiriwa muda wowote hata mwisho wa msimu, na wala haingii dimbani kucheza. Unaona Simba wanatafuta Kaimu Mtendaji, sasa je Yanga watatafuta Kaimu Morrison?
 
Wacha tuoneshane makali [emoji23]
IMG-20200809-WA0005.jpeg
 
Back
Top Bottom